Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,468
- 14,622
***** huyu ndo mchezaji wetu tegemezi msimu haujaaza tayar misuli inamuuma
Gari la mkaa hilo.***** huyu ndo mchezaji wetu tegemezi msimu haujaaza tayar misuli inamuumaView attachment 2687789
Niliongea juzi hapa Kuna mtu alikuwa anajipangia lineup ,nikamuuliza James na chillwell hawawez kwenda mechi 5 bila kusalimia manesi***** huyu ndo mchezaji wetu tegemezi msimu haujaaza tayar misuli inamuumaView attachment 2687789
Kwa hali nakushangaa Sana unavyokuja jukwaa la Arsenal kutupigia keleleGari la mkaa hilo.
Kwani shida yako nini, au ndio unataka tukukaribishe darajani nini?Niliongea juzi hapa Kuna mtu alikuwa anajipangia lineup ,nikamuuliza James na chillwell hawawez kwenda mechi 5 bila kusalimia manesi
Nikasema Astonvilla ana kikos kikali had kocha kuliko Chelsea ,ila wanazi na wafia timu hawataki kukubali
Astonvilla Sasa hivi anamtaka Mousa Diaby , ana Leon Bailey , viungo Douglas Luiz ,Tielemans ,Ramsey ,Buendia , ana CF hatari Watkins
Ana backline Ya Pau Torres na Diego Carlos ,Kipa Emi Martinez
Chelsea ana tegemea kina mudrky na Sterling jumlisha kina madueke ,
Huu utani kabisa hata mtani wangu Flano na manyumbu yake hawako dhaifu kiasi hichoView attachment 2687988
Picha ya zamani hii, James hana shida yeyote, scan ilikuwa tahadhari tu. Man wenge sana na ChelseaKwa hali nakushangaa Sana unavyokuja jukwaa la Arsenal kutupigia kelele
Hapo bado Chillwell ,bado mudrky na Sterling wanahitaji nafasi 10 wafunge goli 1
View attachment 2687989
Msimu ujao namaliza juu y Arsenal, mnategemea ubingwa mpewe na kina martinell?! cjawahigi kumuelewa huyu mchezaji anakimbia kimbia tu na mpira uwanjani akiwa ameangalia mpira.Kwa hali nakushangaa Sana unavyokuja jukwaa la Arsenal kutupigia kelele
Hapo bado Chillwell ,bado mudrky na Sterling wanahitaji nafasi 10 wafunge goli 1
View attachment 2687989
Hata nyie Arse88 mna uwezo wa kumfunga huyo A.vila?Niliongea juzi hapa Kuna mtu alikuwa anajipangia lineup ,nikamuuliza James na chillwell hawawez kwenda mechi 5 bila kusalimia manesi
Nikasema Astonvilla ana kikos kikali had kocha kuliko Chelsea ,ila wanazi na wafia timu hawataki kukubali
Astonvilla Sasa hivi anamtaka Mousa Diaby , ana Leon Bailey , viungo Douglas Luiz ,Tielemans ,Ramsey ,Buendia , ana CF hatari Watkins
Ana backline Ya Pau Torres na Diego Carlos ,Kipa Emi Martinez
Chelsea ana tegemea kina mudrky na Sterling jumlisha kina madueke ,
Huu utani kabisa hata mtani wangu Flano na manyumbu yake hawako dhaifu kiasi hichoView attachment 2687988
Timu ya Pre seaosn hiyo hapoNiliongea juzi hapa Kuna mtu alikuwa anajipangia lineup ,nikamuuliza James na chillwell hawawez kwenda mechi 5 bila kusalimia manesi
Nikasema Astonvilla ana kikos kikali had kocha kuliko Chelsea ,ila wanazi na wafia timu hawataki kukubali
Astonvilla Sasa hivi anamtaka Mousa Diaby , ana Leon Bailey , viungo Douglas Luiz ,Tielemans ,Ramsey ,Buendia , ana CF hatari Watkins
Ana backline Ya Pau Torres na Diego Carlos ,Kipa Emi Martinez
Chelsea ana tegemea kina mudrky na Sterling jumlisha kina madueke ,
Huu utani kabisa hata mtani wangu Flano na manyumbu yake hawako dhaifu kiasi hichoView attachment 2687988
Huyo Astonvilla napiga nje ndan Kama last seasonMsimu ujao namaliza juu y Arsenal, mnategemea ubingwa mpewe na kina martinell?! cjawahigi kumuelewa huyu mchezaji anakimbia kimbia tu na mpira uwanjani akiwa ameangalia mpira.
Hata nyie Arse88 mna uwezo wa kumfunga huyo A.vila?
Arse88 hamna kikosi kiKali kama unavyowaaminisha wenzako.
Tumpe kabisa Cucurtella, atakimbia sana uwanjaniHalafu eti anapigiwa chapuo avae kitambaa cha ucaptain.
Wapi ulishawahi kuona captain anacheza mechi 5 tuu kwa msimu.
Kitambaa apewe Keppa., atakuwa makini zaidi golini.
Reece James ni mzima wa Afya tele, zile taarifa zilipambwa mno wakati scan ilikuwa ni tahadhari tuKwa hali nakushangaa Sana unavyokuja jukwaa la Arsenal kutupigia kelele
Hapo bado Chillwell ,bado mudrky na Sterling wanahitaji nafasi 10 wafunge goli 1
View attachment 2687989
Caicedo kajiunga na Chelsea lini?





Si wao nyie inawauma NiniArsenal wamepigwa 120 kwa rice![]()
