Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hiiii Chelsea hata sijui inataka wachezaji kuyoka sayari gani ssa kma wachezaji wazuri halafu unawatoa kwa mkopo
Mi upuuz Sana hata huyu Andrey Santos walikuwa wanataka kumtoa kwa mkopo kabla hata ya kucheza pre season , Pochettino ndio akasema No ,Ngoja amcheki kwanza kwenye prea season hata yule mbrasil mwingine Angel Pochettino naye kasema anataka amcheki kwenye pre season .
 
Mi upuuz Sana hata huyu Andrey Santos walikuwa wanataka kumtoa kwa mkopo kabla hata ya kucheza pre season , Pochettino ndio akasema No ,Ngoja amcheki kwanza kwenye prea season hata yule mbrasil mwingine Angel Pochettino naye kasema anataka amcheki kwenye pre season .
Hii timu isharudi back 2005, msiwe na matarajio yoyote

Sitashangaa mkigombea kushuka daraja msimu ujao Kama last season sikuwa surprised maana niliyaona toka pre season tunawapiga 4-0
 
Frank Lampard hatimaye afunguka kuhusu kilichotokea Everton an Chelsea katika Ukocha wake

Asema alichokiona kwenye mazoezi ni kwamba

"Viwango vya wachezaji havikuwa vinatosha"
"Kuna wachezaji watakujaribu jaribu na kukuul;iza maswali"
 
Romano anadai ushindani haupo kwenye dili la Caicedo kwa sababu timu zingine zinaogopa mchezaji ameshaichagua Chelsea kwa hiyo kwenda kutoa ofa ni kupoteza muda.

Pia anasema inaonekana hakuna kinachoendlea katika hiyo dili lakini ukweli ni kwamba mazunggumzo bado yanaendelea chini kwa chini

Chelsea wao wametoa ofa ya paundi mil 70 an addons ila Brighton wao wanataka angalau mil 80 pamoja an addons
1689237222037.png
 
Frank Lampard hatimaye afunguka kuhusu kilichotokea Everton an Chelsea katika Ukocha wake

Asema alichokiona kwenye mazoezi ni kwamba

"Viwango vya wachezaji havikuwa vinatosha"
"Kuna wachezaji watakujaribu jaribu na kukuul;iza maswali"
Asisingizie wachezaji, uwezo wake wa ukocha ni mdogo sanaa. Kama huamini ngoja aje apewe timu hatakaa hata miez sita atakua ameshafukuzwa.
Kwanza sijui kama kuna mtu atathubutu kumpa timu.
 
Mechi moja tu tena Friendly Manure na Arsenali wanataka tuwarudishie pesa zao watupe mizigo yetu
Wajue kuwa sasa hao ni mizigo yao, watakufanao, wakitaka wasubiri msimu ujao wauze labda tutawapa Euro mil 9 kwa Havertz na 5 kwa Mount

1689279520963.png
1689279568792.png
 
Yeeess. Hii Sasa ndiyo Chelsea tunayoijua. Warembo. Achaneni na mpira muendelee kupost vitu vya maana zaidi kwenu kama hivi. Mpira tuachieni siye au hata manyumbu akina Flano.

Kuanzia hapa hili jukwaa libadilike kuwa mdogo wa like lingine la picha za warembo wakali worldwide. Shusheni vyuma Chelkenge acheni kujiabisha story za mpira
Kama vipi tumuombe tu Moderator aliunganishe hili jukwaa na Thread ya picha za warembo wakali worldwide.
Yaani Chelsea washajikatia tamaa kabisa kwenye soka, sasa hivi wanaona bora hata wawasifie tu dada zao kua ni pisikali.
Lishakua timu la maMiss hili.
 
Kama vipi tumuombe tu Moderator aliunganishe hili jukwaa na Thread ya picha za warembo wakali worldwide.
Yaani Chelsea washajikatia tamaa kabisa kwenye soka, sasa hivi wanaona bora hata wawasifie tu dada zao kua ni pisikali.
Lishakua timu la maMiss hili.

😆😆😆 Kabisa mkuu. Bora waunganishwe na warembo wakali tujue moja. Maana huku kwenye mpira hawana lolote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom