OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Oyaa ratiba ya ligi ishatoka? Vip kikosi cha kwanza kipoje? Inatakiwa ligi ikianza tunabamiza kama gemu 15 iv non stop tunashinda zote
Huyu ndio kocha tunayemuhitaji kwenye team nadhani ameona vizuri team akiwa nje, mambo mengi aliyoongea ndio yalikuwa madhaifu ya team yetu msimu uliyopita
Halafu ule muda nilitaka nikushtue kua hao sio wazima vichwani achana nao, sema nilishindwa kucomment mana kuna jambo nilikua nalifanya.Leo ndiyo nimeamini mashabiki wa arsenal viraza aisee mtu unamwambia ivi yeye anaongea kitu kingine kabisa
Ligi inaanza wiki ijayo, kikosi kipo tayar Havertz ndio foward wetu mpya.Oyaa ratiba ya ligi ishatoka? Vip kikosi cha kwanza kipoje? Inatakiwa ligi ikianza tunabamiza kama gemu 15 iv non stop tunashinda zote
Samahani mkuuu ndio au kila goli la UEFA Ndio huuu upofu wa watu walikuwa wamepigwa na KAI NA KAGOLI KA UEFA ETI NAE NI TALENTED
BadoYule dogo wa Lyon tumefikia wapi?
Kwa timu hii hata mfano ukimuongeza Caicedo , mtapigwa hata na kina LutonOyaa ratiba ya ligi ishatoka? Vip kikosi cha kwanza kipoje? Inatakiwa ligi ikianza tunabamiza kama gemu 15 iv non stop tunashinda zote
Huyu we muache tu anajifanya mjuaji vipigo vikitawala ataongea maneno sahihi.Hii kiherehere Pochettinho amekuja nayo ndio Tuchel pia alikuja nayo mpaka akatuambia he wants to build a team nobody will wish to meet![]()
Nyie hamtapigwa kbs?Kwa timu hii hata mfano ukimuongeza Caicedo , mtapigwa hata na kina Luton
View attachment 2681674
Kwa timu hiyo pale top 6 unamtoa Nani?Nyie hamtapigwa kbs?