Sweta LA Tanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 902
- 2,836
Nini tena kupandishana mizuka. Wengine tuna aleji na hivyo viduara.
Wiki ya Kwanza nasikia mazoezi ni mazito hawajapa kuona, Potter alikuwa anatuchelewesha
View attachment 2684320
Mbona taarifa zimesema icho kitu mzee mazoezi ni mazito mzeeUnasikia kutoka wapi? Acha ujuaji


Hivi hii guts ya kumshabulia mtu usiyemjua na huna unalojua lolote kuhusu mada unazipata wapi? au ndio tabia yako? Afadhali mtu anishambulie akiwa na data. Sitakusema zaidi ya hapa, wengine watakuhukumuUnasikia kutoka wapi? Acha ujuaji
Mzuri sanaUzi mpya home kit umetoka
Inaonekana wanakimbizwa kishenzi, Kane aliwahi kusema kwamba jamaa akiwa totte hakukuwa na yale mambo ya kuachiwaachiwa mkapumzike.Mbona taarifa zimesema icho kitu mzee mazoezi ni mazito mzee
Hayo magoli yake yakaisaidia Arse88 kuchukua kombe gani? Nyie hampogo timamuWako wanne hapa lakini ukijumlisha magoli yao msimu uliopita ndio utapata Maestro Odegaard Nusu
Enzo 0 + Sterling 6 + Chillwell 2 + Makalio Mudrick 0View attachment 2684610
Mademu wa Chelsea wazuri bana sio kama hao wa ArsenalYeeess. Hii Sasa ndiyo Chelsea tunayoijua. Warembo. Achaneni na mpira muendelee kupost vitu vya maana zaidi kwenu kama hivi. Mpira tuachieni siye au hata manyumbu akina Flano.
Kuanzia hapa hili jukwaa libadilike kuwa mdogo wa like lingine la picha za warembo wakali worldwide. Shusheni vyuma Chelkenge acheni kujiabisha story za mpira
Si waachane nae, watafute mwingine? kwani dunia nzima yupo mwenyew.Ngoja tuone japo Brighton ni wakuda kweli kweli wanataka 105 mkononiView attachment 2685150
Aisee mimi naona tu ni bora wakomae naye hata ikibidi walipe hiyo mil 100, DM kama Caicedo mwenye umri mdogo na aliyekwisha komaa, aliyeko sokoni kwa sasa ni ngumu kumpataSi waachane nae, watafute mwingine? kwani dunia nzima yupo mwenyew.