hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,426
- 26,977
A:- Silaha za Nuclear
1. Mudyk
2. Nkunku
3. Jackson
4. Madueke
B:- Maji washawasha
1. Enzo
2. Santos
3. Caicedo
C:- Kamikaze/Silaha ya kujitoa mhanga
1. Sterling



Huyo Caicedo mmemsajii liniMudrky huyo hawana tofaut na Sterling nafas 10, Goli 1
EPL hii unataka kushindana unaweka kina Santos, serious?
Chelsea ile yakusajili miamba kweli kweli imeshaondoka , Sasa hivi mmekuwa nyuki wa mashineni

. Pia Hana Goli nje ya Box

BREAKING: Mauricio Pochettino has been sacked by Chelsea



