Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

A:- Silaha za Nuclear

1. Mudyk
2. Nkunku
3. Jackson
4. Madueke

B:- Maji washawasha

1. Enzo
2. Santos
3. Caicedo

C:- Kamikaze/Silaha ya kujitoa mhanga

1. Sterling

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyo Caicedo mmemsajii lini

Mudrky huyo hawana tofaut na Sterling nafas 10, Goli 1

EPL hii unataka kushindana unaweka kina Santos, serious?

Chelsea ile yakusajili miamba kweli kweli imeshaondoka , Sasa hivi mmekuwa nyuki wa mashineni
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyo Caicedo mmemsajii lini

Mudrky huyo hawana tofaut na Sterling nafas 10, Goli 1

EPL hii unataka kushindana unaweka kina Santos, serious?

Chelsea ile yakusajili miamba kweli kweli imeshaondoka , Sasa hivi mmekuwa nyuki wa mashineni
Kweli arsenal hamna akili tumemsajili nkuku, jackson na soon caicedo bado Chelsea inafanya inachokitaka kwenye soko la usajili.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyo Caicedo mmemsajii lini

Mudrky huyo hawana tofaut na Sterling nafas 10, Goli 1

EPL hii unataka kushindana unaweka kina Santos, serious?

Chelsea ile yakusajili miamba kweli kweli imeshaondoka , Sasa hivi mmekuwa nyuki wa mashineni
Na tutamuongeza vlahovic kama striker soon
 
Hawa madogo wa kiingereza sijui kwanini tunawaendekeza sana , huyu Colwill anakiburi sana kama cha akina Mount ,type ya wachezaji wa kipuuz kama hawa sio ya kuintertain ,huyu dogo angeuzwa hata kwa 50 milion euro tukapata pesa ya kusajili miamba wengine ,kuna madogo wana talents za maana tu hapo Portugal na Brazil

Wapuuz kama hawa ndio wanaokuja kuchafua dressing room
 
Hawa madogo wa kiingereza sijui kwanini tunawaendekeza sana , huyu Colwill anakiburi sana kama cha akina Mount ,type ya wachezaji wa kipuuz kama hawa sio ya kuintertain ,huyu dogo angeuzwa hata kwa 50 milion euro tukapata pesa ya kusajili miamba wengine ,kuna madogo wana talents za maana tu hapo Portugal na Brazil

Wapuuz kama hawa ndio wanaokuja kuchafua dressing room
Kabisa huyu dogo me simkubali ata kidogo ni mjinga mjinga tu kama mount yani ana akili ya kipumbavu mno
 
Hivi nyie chelsae na Inter mlilogwa kuhusu biashara ya Rukaku?

Kila msimu mnauzianaga mchezaji mmoja [emoji23][emoji23][emoji23]
Toka inter awatapeli £100m , wamekuwa wakifanya biashara kichaa kila msimu kwa mchezaji Huyo Huyo[emoji1787][emoji1787]
 
Sasa hii siniaibu mchezaji kusema hivi [emoji23] tajiri miruzi ameanza kuwatumia wachezaji kushawishi? Sialikuwa akishawishi kwa vibunda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
20230709_170010.jpg


Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
[emoji599]BREAKING: Mauricio Pochettino has been sacked by Chelsea

Sorry, Just practicing for December[emoji2][emoji3]
 
Aiseee uzi mzuri kuwahi kutokeaaaa[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji170][emoji170][emoji170]
 
[emoji599]BREAKING: Mauricio Pochettino has been sacked by Chelsea

Sorry, Just practicing for December[emoji2][emoji3]
Ona hii kondoo imepotea njia, hujui Arteta msimu unaonza ndio hilo panga linamuhusu, yeye amepewa hela ameishia kununua mchezaji mmoja na watu wanataka waone kombe sio kushika nafasi ya pili.
 
Inter na Lukaku wachunguzwe halafu washitakiwe
Wametufanyia utapeli wa kimataifa
Tumnunue Mil 100
Tumekaa naye msimu mmoja tu
Mara Lukaku kaigomea Chelsea anaitaka Inter bora angeing'ang'ania timu nyingine
Tumepata ofa nzuri Uarabuni kaikataa
Sasa amegoma hata kuja kuripoti
Sheria zinasemaje huko jamani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom