Unaongeaga sana kabla ya msimu kuanza na ndio kawaida kila msimu, nyie Arse88 hat top 4 msimu ajao hampo, tunza hii comment.Kwa timu hiyo pale top 6 unamtoa Nani?
Unaongeaga sana kabla ya msimu kuanza na ndio kawaida kila msimu, nyie Arse88 hat top 4 msimu ajao hampo, tunza hii comment.



Halafu akabeba UCL na CWCHii kiherehere Pochettinho amekuja nayo ndio Tuchel pia alikuja nayo mpaka akatuambia he wants to build a team nobody will wish to meet![]()
Hata Arsenal anatoka. Tushakua na kikosi kibovu zaidi na tukashika top four ule msimu Lampard kocha kwa mara ya kwanzaKwa timu hiyo pale top 6 unamtoa Nani?
hiki kimezidi ,kalinganishe na hichi ,Hata Arsenal anatoka. Tushakua na kikosi kibovu zaidi na tukashika top four ule msimu Lampard kocha kwa mara ya kwanza
Kwa maana hiyo Chelsea inashuka daraja?😄😄😄hiki kimezidi ,kalinganishe na hichi ,
Hiki hata Astonvilla humfungi ,endelea kusubiri miujiza
Like last season tu ,Tena kikos hiki Bora Cha mwaka Jana , mbele unamtegemea Sterling na mudrky ambao wanahitaji nafasi 10 wafunge Goli 1 , una mafull backs ambao trip shamba trip garageKwa maana hiyo Chelsea inashuka daraja?![]()
Wewe unaongea kiwivu wivu vile, unaona vifaa vinazidi kuletwa na sasa panic imewajaa sana. PoleniLike last season tu ,Tena kikos hiki Bora Cha mwaka Jana , mbele unamtegemea Sterling na mudrky ambao wanahitaji nafasi 10 wafunge Goli 1 , una mafull backs ambao trip shamba trip garage
Kaangalie vikos vya astonvilla, Brighton, Newcastle , fananisha na hicho Cha kwenu had benchi
Hakuna wivu, vifaa gan hapo vimeletwa? Nakumbuka mwaka Jana ulikuwa mbishi Sana wakati mnasajili ovyo ovyo , Sasa angalia XI yako ,jilinganishe na wengine ,uone pale top 10-7 unamchomoa naniWewe unaongea kiwivu wivu vile, unaona vifaa vinazidi kuletwa na sasa panic imewajaa sana. Poleni
Mlikuwa mnawasema vibaya wachezaji wetu kabla hatujasajili hovyo hovyo kama usemavyo ila tulipowaweka sokoni mligongana vikumbo kuwania kuwanunua. Hapo vipi?Hakuna wivu, vifaa gan hapo vimeletwa? Nakumbuka mwaka Jana ulikuwa mbishi Sana wakati mnasajili ovyo ovyo , Sasa angalia XI yako ,jilinganishe na wengine ,uone pale top 10-7 unamchomoa nani
Unaweza kuleta comment au ushahidi hapa nikiwasema Kai na Jorginho ? Mount ,Kepa , Sterling,kukurela hao ndio huwa nasema hakuna wachezaji hapoMlikuwa mnawasema vibaya wachezaji wetu kabla hatujasajili hovyo hovyo kama usemavyo ila tulipowaweka sokoni mligongana vikumbo kuwania kuwanunua. Hapo vipi?
siwaoni mkitoboa kwa kikosi hiki. mna hari mbaya sana mtapewa chapo sana.2023/2024 = 4 - 2 - 3 - 1
------------ Jackson ------------
Mudyk - Nkunku - Madueke
------- Caicedo ---- Enzo --------
Chil - Colwil - Silva - James
Lazima tumchane chane nyumbu placenta.
Serious?Juventus wamekataa ofa ya awali ya Euro milioni 60 kutoka kwa Chelsea kwa ajili ya kumnunua mshambuliaji Dusan Vlahovic. Sababu ya kukataa ni muundo wa malipo ulikuwa sio sahihi. Mazungumzo yataendelea wiki ijayo
Bayern Munich nao walikuwa wanamtaka mshabuliaji huyo mwenye miakla 23 ila wameonyesha nia ya kawaida tu
2023/2024 = 4 - 2 - 3 - 1
------------ Jackson ------------
Mudyk - Nkunku - Madueke
------- Caicedo ---- Enzo --------
Chil - Colwil - Silva - James
Lazima tumchane chane nyumbu placenta.


oya hiki kikosi bado kwa highest level kupambana , hapo muddy na Sterling kosa kosa Kama Mia