Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tuacheni mawazo ya stone age.

Wachezaji viburi, wanaojisikia kama Ziyech hawastaili kubaki kikosini. Tuendelee kusafisha nyumba.

Tujenge kizazi kipya cha wachezaji ambao wako tayari kupokea maelekezo kutoka kwa kocha na zaidi kupigania jezi kwa moyo wote.
Kiburi cha ziyech ni kipi?
 
Nimeipenda hii kaluli kwa Pochettino

"We need leaders, not followers, in every single area and we will push every person to bring their best and give their best for the club."

Kwa kiswahili

"Tunawahitaji viongozi na sio wafuasi tu, kwa kila idara na tutawasukuma kila mtu aweze kutenda kwa ubora wake na kutoa kilicho bora kwa timu"

Maana yake

Kipa awe kiongozi kwenye ukipa wake
Beki awe kiongozi kwenye ubeki wake
Kiungo awe kiongozi kwenye kiungo
Winga awe kiongozi kwenye uwinga wake na striker awe kiongozi kwenye ustriker wake nk

1688412956531.png
 
"We need to be team that shows togetherness, cares about the club, cares about the fans, and that fights until the end for the badge. That’s the most important thing. The fans need to feel that all the players [in games] are going to die for the club."

"Tunahitaji timu inayoonyesha umoja, kuijali klabu, kuwajali mashabiki, na ambao wanapigana hadio mwisho kwa ajili ya beji. Hiyo ndio kitu muhimu zaidi. Mashabiki wanahitaji kujisikia kuwa wachezaji wote mchezoni wanaenda kupigana hadi kuifia timu"
1688413231016.png
 
Bado sajili ya academy haijaisha

Chelsea are in talks with Flamengo to sign Matheus Franca are willing to pay £20m

Maoni yangu: This is now obsession and addiction

Hii sasa ni kunogewa kupita kiasi na kulewa

Ila pamoja na yote nilichokiona kwa huyu dogo wa miaka 19 anacheza asilimia 100 Samba style, kama Neymar, Ronaldinyo na wengine akina Romario waliocheza ile Samba sytle ya kutumia mwili wote kwenye kuucheza mpira. Pia ni mfungaji mzuri sana akifika golini sio just shooting. Anaweza akaja kuwa a good gumble

1688415054876.png
 
"We need to be team that shows togetherness, cares about the club, cares about the fans, and that fights until the end for the badge. That’s the most important thing. The fans need to feel that all the players [in games] are going to die for the club."

"Tunahitaji timu inayoonyesha umoja, kuijali klabu, kuwajali mashabiki, na ambao wanapigana hadio mwisho kwa ajili ya beji. Hiyo ndio kitu muhimu zaidi. Mashabiki wanahitaji kujisikia kuwa wachezaji wote mchezoni wanaenda kupigana hadi kuifia timu"
View attachment 2677649
Huyu ndio kocha tunayemuhitaji kwenye team nadhani ameona vizuri team akiwa nje, mambo mengi aliyoongea ndio yalikuwa madhaifu ya team yetu msimu uliyopita
 
Caicedo update

Mazungumzo yalifanyika Ijumaa, jumamosi, jumapili na leo na bado yanaendelea
Chelsea wametoa Paundi mil 70 na addons za mil 10 na Brighton wamekataa, wanataka paundi mil 100
Kunamjadala sehemu kule Twitter ulinivutia shabiki mmoja akasema wakikataa paundi mil 85 Chelsea wajitoe

Mashabiki wengi walimlipukia na kumuambia hakuna kujitoa, hata tukilipa zaidi ni sawa
Caisedo ni bora kuliko Rice, Beligham waliouzwa zaidi ya Paundi mil 100
Mwingine akasema tumejitoa kwa Rice, Ugarte, Lavia na huyu tujitoe? haiwezekani
Mwingine kasema Shut you mouth
1688462371776.png
 
Caicedo update

Mazungumzo yalifanyika Ijumaa, jumamosi, jumapili na leo na bado yanaendelea
Chelsea wametoa Paundi mil 70 na addons za mil 10 na Brighton wamekataa, wanataka paundi mil 100
Kunamjadala sehemu kule Twitter ulinivutia shabiki mmoja akasema wakikataa paundi mil 85 Chelsea wajitoe

Mashabiki wengi walimlipukia na kumuambia hakuna kujitoa, hata tukilipa zaidi ni sawa
Caisedo ni bora kuliko Rice, Beligham waliouzwa zaidi ya Paundi mil 100
Mwingine akasema tumejitoa kwa Rice, Ugarte, Lavia na huyu tujitoe? haiwezekani
Mwingine kasema Shut you mouth
View attachment 2678213
Caicedo anakuwa Bora kwa Rice sababu zipi ?

Kama unataka kucheza Lone 6 , Basi Rice Ni the best
 
Calum Hudson Odoi kaamua kuihama Chelsea msimu huu ili akapate muda wa kucheza kwenye timu itakayomhitaji. Nafikri kayasema hayo baada ya kukutana na kocha wa Chelsea kama alivyosema huko nyuma

Chelsea bado haijaweka bei ya kumuuza winga huyo aliwahi kung'ang'aniwa na Chelsea pale Bayern Munich ya Ujerumani walipotaka kumchukua.

So fagia fagia bado inaendelea kunoga na sasa takataka zinajiondoa zenyewe bila kufagiliwa

1688472694268.png
 
Katika maisha yake yote ya mpira hawa wachezaji wanashukuru kuja kuichezea Chelsea hasa waliotoka Arsenal
  1. Nicolous Anelka
  2. Ashley Cole
  3. Cesc Fabregas
  4. Olivier Giroud
Kutoka Chelsea kwenda Arsenal majuto
  1. Petr Cech
  2. Davod Luis
  3. Willian
  4. Jorginho
  5. Kai Havertz
1688473788691.png
 
Chelsea Vs Man United H2H since 1995

Played 73 Games
United won 21 games
Total goals 94, PPG 1.3,
Chelsea won 23
Total goals 93, PPG 1.3,
Drew 29.
Sijui pale England kila timu inapenda kuji pambanisha na man u kwa kila kitu.
 
Sijui pale England kila timu inapenda kuji pambanisha na man u kwa kila kitu.
Sasa hivi Ni aibu kujipambanisha na manjesta ,timu iliyofilisika

| Manchester United are operating under takeover uncertainly, strict FFP regulations which means they’re operating around £100m net spend in mind.

[via @MelissaReddy_].
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom