Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ila mchezaji anayeshine Chelsea ni wa kuheshimiwa aisee ,ni ninaamini kushine Chelsea inabidi uwe vizuri kweli na si tia maji maji , wengi wametepeta pale darajani ukiachana na exceptions chache kama akina Salah na KDB ambao ni uzembe wa makocha kutowapa muda wa kutosha .
Darajani si pa mchezo mchezo
 
20230706_193845.jpg
 
Ila mchezaji anayeshine Chelsea ni wa kuheshimiwa aisee ,ni ninaamini kushine Chelsea inabidi uwe vizuri kweli na si tia maji maji , wengi wametepeta pale darajani ukiachana na exceptions chache kama akina Salah na KDB ambao ni uzembe wa makocha kutowapa muda wa kutosha .
Darajani si pa mchezo mchezo
Hatari sana
 
Ila mchezaji anayeshine Chelsea ni wa kuheshimiwa aisee ,ni ninaamini kushine Chelsea inabidi uwe vizuri kweli na si tia maji maji , wengi wametepeta pale darajani ukiachana na exceptions chache kama akina Salah na KDB ambao ni uzembe wa makocha kutowapa muda wa kutosha .
Darajani si pa mchezo mchezo
Sema tu mifumo yenu mibovu inaua talent usi pake rangi, torres/shevchenko/ walikuja wa moto mka wapooza nakuwapoteza mazima
 
Sema tu mifumo yenu mibovu inaua talent usi pake rangi, torres/shevchenko/ walikuja wa moto mka wapooza nakuwapoteza mazima
Kweli mkuuu ww mpira hujui una hesabu na Torres alie kuja pale amekwisha na alivyokwisha RAHM STERRILNG
 
Nimepita humu kusoma comment zenu ili nicheke tu ntakuja Tena September hapo December nicheke Tena alafu kufika march ndo ntawacheka Hadi may mkiwa nafasi zenu zile za 10
 
Ila mchezaji anayeshine Chelsea ni wa kuheshimiwa aisee ,ni ninaamini kushine Chelsea inabidi uwe vizuri kweli na si tia maji maji , wengi wametepeta pale darajani ukiachana na exceptions chache kama akina Salah na KDB ambao ni uzembe wa makocha kutowapa muda wa kutosha .
Darajani si pa mchezo mchezo
Ona hii
 
We hujataka kucheka, ukitaka kucheka zaid ungepitia na jukwaa la makondoo wa Arse88 huko ndio utacheka mpk uzimie.

Leo ndiyo nimeamini mashabiki wa arsenal viraza aisee mtu unamwambia ivi yeye anaongea kitu kingine kabisa
 
Dili la Caisedo ni kama limeisha

Mrejesho huu hapa

Chelsea wametoa Paundi mil 75 na addons za mil 10
Chelsea na Brighton sasa wamejikita kwenye mfumo mzuri wa malipo

Bayern Munich walijitoa kwa sababu walipomuendea wakalaw a Caicedo walikuta Caicedo tayari alikuwa na mkataba wa mdomo na Chelsea - Christian Falk
View attachment 2678664

Hata hizi takataka zingine nahisi walifyata mkia kwa sabbau hiyo hiyo

Caisedo alishaichagua Chelsea

View attachment 2678662
The Guardian: The Blues are unwilling to pay £100m for Caicedo, despite the Seagulls feeling a benchmark has been set by Arsenal paying a similar fee to buy Declan Rice from West Ham. Chelsea instead hope to convince Brighton to sell at a price closer to £80m ($102m).
Chelsea may move for Celta Vigo's Gabri Veiga instead.

1688723468768.png


1688724387930.png
 
Wachezaji walioiahama Chelsea msimu huu wa kiangazi
  1. Kai Havertz
  2. Mason Mount
  3. Mateo Kovacic
  4. Kalidou Koulibaly
  5. Edouard Mendy
  6. Ruben Loftus-Cheek
  7. César Azpilicueta
  8. Nathan Baxter
  9. N'Golo Kanté
  10. Dujon Sterling
  11. Ethan Wady
  12. Charlie Webster
  13. Derrick Abu
  14. Prince Adegoke
  15. Tiemoué Bakayoko
  16. Juan Familia-Castillo
  17. Bryan Fiabema
  18. Joe Haigh
  19. Henry Lawrence
  20. Sam McClelland
  21. Malik Mothersille
  22. Xavier Simons
  23. Ethan Wady
  24. Jayden Wareham
 
£100 nyingi sana.

The Blues hatutaki kupigwa tena za uso sokoni.

Wachezaji wazuri wapo kibao hiyo £100M sajili MD wawili.
Ila kama Caicedo hawapo
Chelsea hapa kama ni kweli wanatishia tu, Veiga hawezi chukua nafasi ya Caisedo
Chelsea Caisedo watambeba tu hata Brighton waking'ang'ania Paundi mil 100+
Utulivu wa Chelsea utapatikana tu atakapopatikana DM/CM mzuri kiwango cha Cai
Lavia hajaiva vizuri kumfikia Caisedo, Palhinha ni mzee wale wengine hawana uzofu wa EPL
Mazungumzo na Brighton naona itaingia wiki ijayo

Labda alternative hawa
  1. Joao Palhinha
  2. Romeo Lavia
  3. Martin Zubimendi
  4. Nicolo Barella,
  5. Manu Kone
  6. Wilfred Ndidi
  7. Aurelien Tchouameni
  8. Youssouf Fofana
 
Tunahitaji tangazo kama hili kutoka kwa Fab, please
 
BREAKING NEWS: HARRY KANE TO CHELSEA

Tukimsajili huyu, Ligi tumebeba
UEFA tumebeba
FA tumebeba
Hata makombe yale ya mbuzi na panya tumebeba

Exclusive: Chelsea have asked @SpursOfficial for permission to start talks with @HKane
Chelseafc are ready to pay asking price, #thfc last resort would be selling to @premierleague
rivals. #cfc
View attachment 2678451
Nkunku, Kane, muddy, Enzo...shida tupu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom