Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hii ni team ya waarabu nishasema ..
IMG-20230705-WA0002.jpg
 
Dili la Caisedo ni kama limeisha

Mrejesho huu hapa

Chelsea wametoa Paundi mil 75 na addons za mil 10
Chelsea na Brighton sasa wamejikita kwenye mfumo mzuri wa malipo

Bayern Munich walijitoa kwa sababu walipomuendea wakalaw a Caicedo walikuta Caicedo tayari alikuwa na mkataba wa mdomo na Chelsea - Christian Falk
View attachment 2678664

Hata hizi takataka zingine nahisi walifyata mkia kwa sabbau hiyo hiyo

Caisedo alishaichagua Chelsea

View attachment 2678662
Nasikia Brighton wameweka kizingiti tena, so mambo bado ni magumu. Kufanya business na Brighton ni changamoto kubwa
 
Twitter itashake au kujam kwa muda Kane akihamia Chelsea
Fake news kidogo tu cheki hisia za mashabiki ilivyo
Yani Twitter isi-shake Ronaldo kurudi United au Messi kushinda World Cup ije ku-shake kwenye usajili wa Kane!?
 
Dili la Caisedo ni kama limeisha

Mrejesho huu hapa

Chelsea wametoa Paundi mil 75 na addons za mil 10
Chelsea na Brighton sasa wamejikita kwenye mfumo mzuri wa malipo

Bayern Munich walijitoa kwa sababu walipomuendea wakalaw a Caicedo walikuta Caicedo tayari alikuwa na mkataba wa mdomo na Chelsea - Christian Falk
View attachment 2678664

Hata hizi takataka zingine nahisi walifyata mkia kwa sabbau hiyo hiyo

Caisedo alishaichagua Chelsea

View attachment 2678662
Bayern Hana hela , halafu Hilo dili gumu sana
 
Dili la Caisedo ni kama limeisha

Mrejesho huu hapa

Chelsea wametoa Paundi mil 75 na addons za mil 10
Chelsea na Brighton sasa wamejikita kwenye mfumo mzuri wa malipo

Bayern Munich walijitoa kwa sababu walipomuendea wakalaw a Caicedo walikuta Caicedo tayari alikuwa na mkataba wa mdomo na Chelsea - Christian Falk
View attachment 2678664

Hata hizi takataka zingine nahisi walifyata mkia kwa sabbau hiyo hiyo

Caisedo alishaichagua Chelsea

View attachment 2678662
Bayern Hana hela , halafu Hilo dili gumu sana
 
Wivu ni kutamani kitu fulani ambacho mtu anacho.

Sasa itakuwaje wivu wakati Kane siyo mchezaji wa Chelshit.

Nilichoandika ni ukweli. Ronaldo kurudi United au Messi kushinda World Cup ilikuwa ni maelfu ya tweets kila sekunde.
 
"Wivu ni kutamani kitu fulani ambacho mtu anacho"

Hiyo tafsiri ni potofu.

Wivu ni kutamani mtu asipate kitu furani.
 
"Wivu ni kutamani kitu fulani ambacho mtu anacho"

Hiyo tafsiri ni potofu.

Wivu ni kutamani mtu asipate kitu furani.
Hapo ndipo uelewa wako umeishia?
Wivu - kutamani mali au hali nzuri aliyonayo jirani yako, hii hali yetu ya kununua wachezaji ambapo ninyio hamuwezi ndio jealousy mliyonayo kubwa hasa mashabiki wa Manure - mbolea na Arse8 Anal
Jealousy will kill you my friends, this is just football, a game nothing else
 
Yale yale ya Salah na KDB? Harvetz je? Kosa jingine Chelsea wamefanya? Time will tell........
IMG_20230705_103053.jpg
 
Hapo ndipo uelewa wako umeishia?
Wivu - kutamani mali au hali nzuri aliyonayo jirani yako, hii hali yetu ya kununua wachezaji ambapo ninyio hamuwezi ndio jealousy mliyonayo kubwa hasa mashabiki wa Manure - mbolea na Arse8 Anal
Jealousy will kill you my friends, this is just football, a game nothing else
Lembu naona kama unanikosea heshima sijawahi kuibizana na wewe. Kitu cha ajabu unanifananisha na mashabiki wa Manure na asenyeto wakati Mimi ni The Blues.

Nimekusamehe japo hujaniomba msamaha. Mimi sio mtu wa malumbano
 
jealous
wivu
adjective: mwenye wivu
mwenye wivu, na wivu, wivu kwa
jealous
adj. ■ adjective
envious of someone else's possessions, achievements, or advantages. suspicious or resentful of a perceived sexual rival.
fiercely protective or vigilant of one's rights or possessions.
(of God) demanding faithfulness and exclusive worship.


jealously adverb
jealousy noun (plural jealousies).


ME: from OFr. gelos, from med. L. zelosus (see zealous).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom