NEGAN
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 1,764
- 4,272
Kiranja wa mahubiri ya kukataza matusi atukana leo.Unakoelekea utapigwa pipe
Mtazamaji KIVUMBI LEO
Kiranja wa mahubiri ya kukataza matusi atukana leo.Unakoelekea utapigwa pipe
Sisi tunamjua Jorginho kuliko ninyi wapita njiaMzee unatukosea Sana heshima , hakuna mshabiki mwenye akili timamu anayebeza Uwezo wa Kai na Gorginho
Binafsi nimekuwa napingana na nyie humu kuhusu Jorgingo toka yupo kwenu hata alipokuja kwetu nilisimama kidete kumtetea , na Sasa waliomtukana wametoweka ,na chakufurahisha kocha wangu Arteta anamuamini Jorgingo kuliko hata Partey ambaye anataka kumuuza,
Kuhusu Kai hivo hivo toka yupo Germany tulimuhitaji Sana
Chakushangaza Sasa mount sijawahi kumuelewa kabisa na hajaja kwetu
Hivo usiseme hao wachezaji wabovu sababu walifeli kwenu
Kwangu mm Jorginho na Kai Ni wachezaji Bora Sana ,Kama Kai hamjafaidi kabisa
Punguza makasiriko sijakulazimisha kuipenda timu isiyokua na uelekeo, unajickiaje anamwambia mwanaume mwenzio utampga pipe, halaf hat humjui.Unakoelekea utapigwa pipe
Amepaniki😂😂😂😂 ndio mana mashabiki wa Arse88 wanaishiaga kujinyonga.
Hapo kwa kai na jorginho umetupiga na kitu kizito hawa wachezaji ni wazuri kwa kiwango cha kawaida kwasababu wanamapungufu makubwa sana kai, ni mzuri kwenye kufanya movement ila ukiachana na hilo ni mchezaji legelege, sio finasher mzuri, hajua kufanya press na kuhold mpira ndio maana rahisi kwake kunyan’ganywa mpira. Tukija kwa jorginho ni mzuri kwenye kupossess mpira na kucontrol game ila udhaifu wake mkubwa yupo slow, back pass nyingi kuliko forward pass, sio mkabaji mzuri na pia hawezi kucheza dhidi ya opponent inayopress sana anakuwa more exposed. Frank de jong anasifika kuwa moja ya best midfielder ni kwasababu ana offer vitu vingi sana kwenye team na ni nadra sana kuona udhaifu wakeMzee unatukosea Sana heshima , hakuna mshabiki mwenye akili timamu anayebeza Uwezo wa Kai na Gorginho
Binafsi nimekuwa napingana na nyie humu kuhusu Jorgingo toka yupo kwenu hata alipokuja kwetu nilisimama kidete kumtetea , na Sasa waliomtukana wametoweka ,na chakufurahisha kocha wangu Arteta anamuamini Jorgingo kuliko hata Partey ambaye anataka kumuuza,
Kuhusu Kai hivo hivo toka yupo Germany tulimuhitaji Sana
Chakushangaza Sasa mount sijawahi kumuelewa kabisa na hajaja kwetu
Hivo usiseme hao wachezaji wabovu sababu walifeli kwenu
Kwangu mm Jorginho na Kai Ni wachezaji Bora Sana ,Kama Kai hamjafaidi kabisa
Amezoea kuwadanganya kondoo wenzake kule, amesahau anataka atudanganye na sisi.Hapo kwa kai na jorginho umetupiga na kitu kizito hawa wachezaji ni wazuri kwa kiwango cha kawaida kwasababu wanamapungufu makubwa sana kai, ni mzuri kwenye kufanya movement ila ukiachana na hilo ni mchezaji legelege, sio finasher mzuri, hajua kufanya press na kuhold mpira ndio maana rahisi kwake kunyan’ganywa mpira. Tukija kwa jorginho ni mzuri kwenye kupossess mpira na kucontrol game ila udhaifu wake mkubwa yupo slow, back pass nyingi kuliko forward pass, sio mkabaji mzuri na pia hawezi kucheza dhidi ya opponent inayopress sana anakuwa more exposed. Frank de jong anasifika kuwa moja ya best midfielder ni kwasababu ana offer vitu vingi sana kwenye team na ni nadra sana kuona udhaifu wake
Baada ya kusababisha penalty dk ya31 sasa ktk Dakika ya 44 Mudryk anatoa assist na sasa matokeo yamegeuzwa
Ufaransa 1
Ukraine 2
Hayo ndio mambo Mudryk ataanza kufanya Chelsea muda sio mrefu
Baada ya kusababisha penalty dk ya31 sasa ktk Dakika ya 44 Mudryk anatoa assist na sasa matokeo yamegeuzwa
Ufaransa 1
Ukraine 2
Hayo ndio mambo Mudryk ataanza kufanya Chelsea muda sio mrefu
Game la kwanza na jezi y chelsea alicheza vizur sana, alitoa pia bonge la assist, ila cha kushangaza tokea hapo hajawah kupewa hat dk.2 za kuanza.Huo muasist Sasa kudadek 😋😋😋😋
Hii assists Fabregas unaifananisha na ya nani kwenye wachezaji wa Chelsea wa sasa?
Lyon wameibuka na €25m kwa Pulisic na pia namna ya malipo yao ni nzuri kuliko yaAC Milan, wakati AC Milan wao wanatoa €14m na kwa malipo ya awamu
Chelsea walikuwa wanadai hiyo €25m
Sasa mazungumzo na Lyon yamefika mbali na wanapatana tu namna ya malipo. Hapo hapo na swala la Rayan Cherki litajadiliwa. Tukumbuke kuwa Lyon walituuzia Malo Gusto Januari
View attachment 2676868