lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,380
- 25,482
Sterling muda wake unaishia na unalijua hilo, Cucu hakuwahi kuwa mchazji mzuriSterling na Cucurella nao wametoka farmers league??
Sterling muda wake unaishia na unalijua hilo, Cucu hakuwahi kuwa mchazji mzuriSterling na Cucurella nao wametoka farmers league??
No confirmationbado confirmation, tunasubiri.
Kale kajamaa ni kaduanzi kweli, amekataaje kupunguza mshahara wakati mgonjwa.No confirmation
Test ya pili ilifanyika Spain jana na majibu yakawa yale yale
Al Nassr wakaamua kumpa Ziyech mkataba mwingine kwa kupunguza 40% ya mshahara wake Ziyech akakataa hapo hapo
Mlisema hivyo wakati mnanunua mudryk kwa mahela rukuki ....KIKOWAPI SasaKwa ligi ya Uingereza ilivyo sidhani kama Havertz atafanya wonders kule Arsenal. Anaweza akacheza vizuri kuliko Chelsea chini ya Arteta ila sio wonderful football. Ataendela kuwa mchezaji wa kawaida tu.
Muhimu hakuondoka kihasara na ametupa income ya kusajili mbadala
Tukimpata Rayan Cherki ana miaka 19 lakini anacheza kama ana miaka 23/25
Tutakuwa tumempata Atatcking Mildfield mzuri sana. Anacheza style ya Zinedine Zidane (ZIZOU)
Atakuwa ni mbadala wa wachezaji wa wili kwa mpigo, yaani Mount na HAvertz combined
1 Cherki = 10 Havertz
1 Cherki = 7 Mount


Hao taka taka mtaona utakataka wao ligi ikianza si kesho kutwa tuKitu kimoja kizuri ndani ya Chelsea ni kwamba tuna na tulikuwa na wachezaji wazuri
Jorginho tulimuita takataka
Arseanla wao wanamuita Lulu
Havertz tulimuita Legelege
Arsenal wao wanamuita talent tena analipwa £330,000/wiki
Mason Mount tulimtukana na kumkejeli anatuzamisha
Kule UTD wanamuona ni bonge la usajili na mshahara anapewa £300,000/wiki
Walitubeza san haya mandumila kuwili ya Arsenal na Manure
Ona sasa wamewasajili wachezaji sisi tuliowaona takatakla na wao kuwafanya wachezaji wanaolipwa mishahara mikubwa
Waje sasa hapa wakiwa na majibu sahihi

Mana hata de bruyne na Salah kwenu walionekanaga takatakaKitu kimoja kizuri ndani ya Chelsea ni kwamba tuna na tulikuwa na wachezaji wazuri
Jorginho tulimuita takataka
Arseanla wao wanamuita Lulu
Havertz tulimuita Legelege
Arsenal wao wanamuita talent tena analipwa £330,000/wiki
Mason Mount tulimtukana na kumkejeli anatuzamisha
Kule UTD wanamuona ni bonge la usajili na mshahara anapewa £300,000/wiki
Walitubeza san haya mandumila kuwili ya Arsenal na Manure
Ona sasa wamewasajili wachezaji sisi tuliowaona takatakla na wao kuwafanya wachezaji wanaolipwa mishahara mikubwa
Waje sasa hapa wakiwa na majibu sahihi


Me binafsi sitaki ziyech aondoke sijui kwannNo confirmation
Test ya pili ilifanyika Spain jana na majibu yakawa yale yale
Al Nassr wakaamua kumpa Ziyech mkataba mwingine kwa kupunguza 40% ya mshahara wake Ziyech akakataa hapo hapo
Even meMe binafsi sitaki ziyech aondoke sijui kwann
Asante kushukuru kwa jibu hiliMana hata de bruyne na Salah kwenu walionekanaga takataka![]()

Kabisa ziyech anajikutaga star sana wakati hamna loloteTuacheni mawazo ya stone age.
Wachezaji viburi, wanaojisikia kama Ziyech hawastaili kubaki kikosini. Tuendelee kusafisha nyumba.
Tujenge kizazi kipya cha wachezaji ambao wako tayari kupokea maelekezo kutoka kwa kocha na zaidi kupigania jezi kwa moyo wote.
Kitu kimoja kizuri ndani ya Chelsea ni kwamba tuna na tulikuwa na wachezaji wazuri
Jorginho tulimuita takataka
Arseanla wao wanamuita Lulu
Havertz tulimuita Legelege
Arsenal wao wanamuita talent tena analipwa £330,000/wiki
Mason Mount tulimtukana na kumkejeli anatuzamisha
Kule UTD wanamuona ni bonge la usajili na mshahara anapewa £300,000/wiki
Walitubeza san haya mandumila kuwili ya Arsenal na Manure
Ona sasa wamewasajili wachezaji sisi tuliowaona takatakla na wao kuwafanya wachezaji wanaolipwa mishahara mikubwa
Waje sasa hapa wakiwa na majibu sahihi
Yan hapa Liver amepata bonge moja la mchezaji, nilitaman sana kabla hajaenda LP angetua Arsenal ila ndo ivyo tena.Ila Chelsea kumuachia huyu mwamba duh:
Dominik Szoboszlai
age 22
pos: CAM or No. 10
View attachment 2672529
Mzee unatukosea Sana heshima , hakuna mshabiki mwenye akili timamu anayebeza Uwezo wa Kai na GorginhoKitu kimoja kizuri ndani ya Chelsea ni kwamba tuna na tulikuwa na wachezaji wazuri
Jorginho tulimuita takataka
Arseanla wao wanamuita Lulu
Havertz tulimuita Legelege
Arsenal wao wanamuita talent tena analipwa £330,000/wiki
Mason Mount tulimtukana na kumkejeli anatuzamisha
Kule UTD wanamuona ni bonge la usajili na mshahara anapewa £300,000/wiki
Walitubeza san haya mandumila kuwili ya Arsenal na Manure
Ona sasa wamewasajili wachezaji sisi tuliowaona takatakla na wao kuwafanya wachezaji wanaolipwa mishahara mikubwa
Waje sasa hapa wakiwa na majibu sahihi
Kawadanganye kondoo wenzio kule kua kai na joghino ni wachezaji wazuri, sisi hapa tunawajua vizuri.Mzee unatukosea Sana heshima , hakuna mshabiki mwenye akili timamu anayebeza Uwezo wa Kai na Gorginho
Binafsi nimekuwa napingana na nyie humu kuhusu Jorgingo toka yupo kwenu hata alipokuja kwetu nilisimama kidete kumtetea , na Sasa waliomtukana wametoweka ,na chakufurahisha kocha wangu Arteta anamuamini Jorgingo kuliko hata Partey ambaye anataka kumuuza,
Kuhusu Kai hivo hivo toka yupo Germany tulimuhitaji Sana
Chakushangaza Sasa mount sijawahi kumuelewa kabisa na hajaja kwetu
Hivo usiseme hao wachezaji wabovu sababu walifeli kwenu
Kwangu mm Jorginho na Kai Ni wachezaji Bora Sana ,Kama Kai hamjafaidi kabisa
Sijakujibu wewe ,mbona unawashwawashwaKawadanganye kondoo wenzio kule kua kai na joghino ni wachezaji wazuri, sisi hapa tunawajua vizuri.
Ungetaka usijibiwe na mtu mwingine ungemtumia PM, acha ufalaSijakujibu wewe ,mbona unawashwawashwa
Unakoelekea utapigwa pipeUngetaka usijibiwe na mtu mwingine ungemtumia PM, acha ufala
Tunahitaji kizazi cha wazalendo na wanaojitoa kweli kweli sio hao wanaojiona ni wakubwa kuliko timuTuacheni mawazo ya stone age.
Wachezaji viburi, wanaojisikia kama Ziyech hawastaili kubaki kikosini. Tuendelee kusafisha nyumba.
Tujenge kizazi kipya cha wachezaji ambao wako tayari kupokea maelekezo kutoka kwa kocha na zaidi kupigania jezi kwa moyo wote.
Hata Rayan Cherki ni kiwango kile kile na yeye bado 19Yan hapa Liver amepata bonge moja la mchezaji, nilitaman sana kabla hajaenda LP angetua Arsenal ila ndo ivyo tena.