Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

-Fab
César Azpilicueta to Atlético Madrid, here we go! Agreement in place over two year contract. Azpi will sign until June 2025 #Atlético

Chelsea will let him leave as free agent, matter of respect for former captain.

Documents will be ready soon.Exclusive news, confirmed.

1688159216094.png
 
Tunawatakia mafanikio mema, asanteni ...Tutawakumbuka.

1. Mason Mount - Man Utd
2. Kai Havertz - Arsenal
3. Mateo Kovacic - Manchester City
4. Ruben Loftus-Cheek is close to joining AC Milan.
5. N'Golo Kante - Saudi Arabia
6. Edouard Mendy - Saudi Arabia
7. Kalidou Koulibaly - Saudi Arabia.
 
Tunawatakia mafanikio mema, asanteni ...Tutawakumbuka.

1. Mason Mount - Man Utd
2. Kai Havertz - Arsenal
3. Mateo Kovacic - Manchester City
4. Ruben Loftus-Cheek is close to joining AC Milan.
5. N'Golo Kante - Saudi Arabia
6. Edouard Mendy - Saudi Arabia
7. Kalidou Koulibaly - Saudi Arabia.
Hakim zych je mbona hayupo kwenye orodha hyo
 
Tunawatakia mafanikio mema, asanteni ...Tutawakumbuka.

1. Mason Mount - Man Utd
2. Kai Havertz - Arsenal
3. Mateo Kovacic - Manchester City
4. Ruben Loftus-Cheek is close to joining AC Milan.
5. N'Golo Kante - Saudi Arabia
6. Edouard Mendy - Saudi Arabia
7. Kalidou Koulibaly - Saudi Arabia.
Hakim Ziyech anarudi jamani, test ya pili imeonyesha ana shida kwenye goti nk. Amepewa ofa mpya yenye punguzo la mshahara kwa 40% amekataa na sasa anarudi kuwa mchezaji wa Chelsea hadi Juni 30 2025
 
Mtamkumbuka atachokuwa akiwafanya mkicheza na arsenal
Kwa ligi ya Uingereza ilivyo sidhani kama Havertz atafanya wonders kule Arsenal. Anaweza akacheza vizuri kuliko Chelsea chini ya Arteta ila sio wonderful football. Ataendela kuwa mchezaji wa kawaida tu.
Muhimu hakuondoka kihasara na ametupa income ya kusajili mbadala
Tukimpata Rayan Cherki ana miaka 19 lakini anacheza kama ana miaka 23/25
Tutakuwa tumempata Atatcking Mildfield mzuri sana. Anacheza style ya Zinedine Zidane (ZIZOU)

Atakuwa ni mbadala wa wachezaji wa wili kwa mpigo, yaani Mount na HAvertz combined

1 Cherki = 10 Havertz
1 Cherki = 7 Mount
 
Vip muzee kule arse8 munapigwa tu mara Kai mara mchele ..eti uko uefa munaenda kufanya nini na hao takataka waloflop kwenye clab zao za zamani.? Kweli arse8 mumefikia atua ya kupigwa pound m100 hamujifunzi hata kwa pepe kalee mulipigwa japo mulilipa kwa mafungu.😂😂😂 Je hii nayo ya Rice mchele mumelipa yote?
 
Wivu yako naiona kwa mbali
Pole sana
Chelsea timu kubwa, kama mizigo ya mishahara tumeshaondoa na Caicedo ameshaprove ni mchezaji hodari hakuna shida. Pia kumbuka sisi hatuna UCL, kuwashawishi wachezaji wengi wazuri kuja kwenye timu isiyocheza UCL ni lazima mshiko uwe mkubwa ndg. This is Stanford Bridge, Blue is the color and Footbal is the game
Hivi sisi hata FA hatushiriki!?
 
Kitu kimoja kizuri ndani ya Chelsea ni kwamba tuna na tulikuwa na wachezaji wazuri
Jorginho tulimuita takataka
Arsenal wao wanamuita Lulu

Havertz tulimuita Legelege
Arsenal wao wanamuita talent tena analipwa £330,000/wiki
Mason Mount tulimtukana na kumkejeli anatuzamisha
Kule UTD wanamuona ni bonge la usajili na mshahara anapewa £300,000/wiki

Walitubeza san haya mandumila kuwili ya Arsenal na Manure

Ona sasa wamewasajili wachezaji sisi tuliowaona takatakla na wao kuwafanya wachezaji wanaolipwa mishahara mikubwa

Waje sasa hapa wakiwa na majibu sahihi
 
Kitu kimoja kizuri ndani ya Chelsea ni kwamba tuna na tulikuwa na wachezaji wazuri
Jorginho tulimuita takataka
Arseanla wao wanamuita Lulu

Havertz tulimuita Legelege
Arsenal wao wanamuita talent tena analipwa £330,000/wiki
Mason Mount tulimtukana na kumkejeli anatuzamisha
Kule UTD wanamuona ni bonge la usajili na mshahara anapewa £300,000/wiki

Walitubeza san haya mandumila kuwili ya Arsenal na Manure

Ona sasa wamewasajili wachezaji sisi tuliowaona takatakla na wao kuwafanya wachezaji wanaolipwa mishahara mikubwa

Waje sasa hapa wakiwa na majibu sahihi
Hamtaki kuamini kwamba Chelsea inaua vipaji vya wachezaji, kwasababu timu Haina structure ya uchezaji na kupenda kuingilia majukumu ya coacher.

Harvert wa liverkusen na wa Chelsea wapo sawa?
Pulisic wa Dortmund na Sasa hivi wapo sawa?
Koulibaly alikuwa uchochoro Napoli? etc.

Na mnavyozidi kurundika waachezaji, Bada ya 2/3 yrs mtegemee flops kama 5 hivi. Kikosi kinabidi kiwe kipana, lakini kikiwa kipana kupitiliza ni tatizo
 
Hamtaki kuamini kwamba Chelsea inaua vipaji vya wachezaji, kwasababu timu Haina structure ya uchezaji na kupenda kuingilia majukumu ya coacher.

Harvert wa liverkusen na wa Chelsea wapo sawa?
Pulisic wa Dortmund na Sasa hivi wapo sawa?
Koulibaly alikuwa uchochoro Napoli? etc.

Na mnavyozidi kurundika waachezaji, Bada ya 2/3 yrs mtegemee flops kama 5 hivi. Kikosi kinabidi kiwe kipana, lakini kikiwa kipana kupitiliza ni tatizo
Ligi za wakulima usilinganishe na EPL
Havertz wa Leverksuen alikuwa kinara kwenye ligi ya wakulima
Pulisic hakuwahi kung'ara hata kwenye hiyo ligi ya wakulima
Hujatetetea hoja jaribu tena
 
Fabregas atangaza kustahafu soka na hapo hapo kutangaza nia ya kuwa kocha wa Como B

BREAKING: Former Barcelona and Chelsea star Cesc Fabregas announces his immediate retirement from football and confirms decision to begin coaching Como B https://trib.al/d5LQ8zz
1688227936594.png
 
Ligi za wakulima usilinganishe na EPL
Havertz wa Leverksuen alikuwa kinara kwenye ligi ya wakulima
Pulisic hakuwahi kung'ara hata kwenye hiyo ligi ya wakulima
Hujatetetea hoja jaribu tena
Sterling na Cucurella nao wametoka farmers league??
 
Kwa ligi ya Uingereza ilivyo sidhani kama Havertz atafanya wonders kule Arsenal. Anaweza akacheza vizuri kuliko Chelsea chini ya Arteta ila sio wonderful football. Ataendela kuwa mchezaji wa kawaida tu.
Muhimu hakuondoka kihasara na ametupa income ya kusajili mbadala
Tukimpata Rayan Cherki ana miaka 19 lakini anacheza kama ana miaka 23/25
Tutakuwa tumempata Atatcking Mildfield mzuri sana. Anacheza style ya Zinedine Zidane (ZIZOU)

Atakuwa ni mbadala wa wachezaji wa wili kwa mpigo, yaani Mount na HAvertz combined

1 Cherki = 10 Havertz
1 Cherki = 7 Mount
Huyu ni bonge la mchezaji lakini sioni kama tunahangaikia kumpata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom