Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

- Fabrizio Romano
Chelsea have agreed €15m fee for 2004 talented Brazilian striker Ângelo, here we go! #CFC
Ângelo agreed personal terms on a deal until 2029.
He’ll start pre season at Chelsea then possible loan.
Barça clause: they’ve 48h to match Chelsea bid — but they will NOT do
1687966212989.png
 
Atakuwa kwenye pre season then anatolewa kwa mkopo kwenye ile timu ya ufaransa
Dili halijakamilika kwa sababu Barca naye alikuwepo. Hadi mikataba isainiwe na pande zote mbili ndio sasa HERE WEGO ije
"Kwa sasa ni Here we go soon"
 
View attachment 2671983
Man city wanataka watufanyie mchezo mchafu kama walivyowafanyia arsenal kwa rice nao wameingia kwenye deal la huyu
Hii ya akina Veiga wala usijali wako wengi
Kuna yule wa Leipzig naye ni target wa Chelsea wanamsifia hata kuliko Veiga japo Veiga naye ni mzuri sana
  1. Mohammed Kudus of Ajax
  2. Florian Wirtz of BayerLeverkusen
  3. Dominik Szobozlai of RBLeipzig
  4. Gabri Veiga of CeltaVigo
 
Najua ubora wa Enzo ila nimeona anatumika Sana chini tangu aje so usajili wa Caicedo kocha wetu mpya anamtazamo upi? wakumchezesha chini Enzo apande juu au kucheza wote CM?
kwa pochettino naonaga uwa anatumia wachezaji wawil juu ya mabeki wa kati wawili.

kama caicedo atasajiliwa.. wanaweza kucheza wote pia na enzo kwenye eneo hilo.. nakumbuka kipindi cha spurs alikuwa na dembele pmja na wanyama.
 
kwa pochettino naonaga uwa anatumia wachezaji wawil juu ya mabeki wa kati wawili.

kama caicedo atasajiliwa.. wanaweza kucheza wote pia na enzo kwenye eneo hilo.. nakumbuka kipindi cha spurs alikuwa na dembele pmja na wanyama.
Ila ningependa zaidi Enzo angesogezwa mbele
 
Ila ningependa zaidi Enzo angesogezwa mbele
Kucheza watacheza wote kama pivot ya wawili ila kiuhalisia mmoja akipanda mwingine anabaki kama CDM kuthibiti ile line yote ya katikati
Enzo ni mzuri kwa assists ila Caisedo ni mfungaji mzuri zaidi ya Enzo so sioni kama kuna wa kubaki nyuma parmanently na mwingine wa kuadvance watakuwa wakibadilishan unless kocha atoe maagizo tofauti na nionavyo
 
England vs German U21 2-0
Madueke dominated the right flunk
Most of the chances created by Madueke
Very strong in stamina, ball control and dribbling
Big pace and speed
Won the MOTM
What else do you need for a youngster of just 21yo?
1688009154207.png
 
Ila Chelsea kumuachia huyu mwamba duh:
Dominik Szoboszlai
age 22
pos: CAM or No. 10

1688010631625.png
 
Tumewatoa Kante..Joghinyo...Kova...Mount yupo njiani, je rotation sehemu ya kati watacheza Enzo, Gallagher na nani tena? Mimi sioni kama tumeleta quality players isipokuwa kama tutaingiza motivation kwa wachezaji wenda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom