verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,121
- 6,184
Kenge za darajani mpo? Oneni kijana alivyojaa tabasamu tumemkomboa toka kwa wapambania kushuka daraja
Kuna Nkuku na Mudi watachezaTumewatoa Kante..Joghinyo...Kova...Mount yupo njiani, je rotation sehemu ya kati watacheza Enzo, Gallagher na nani tena? Mimi sioni kama tumeleta quality players isipokuwa kama tutaingiza motivation kwa wachezaji wenda.
Kuliko wamuuze Mount bora wangeuza Gallager tu Mount abaki.Tumewatoa Kante..Joghinyo...Kova...Mount yupo njiani, je rotation sehemu ya kati watacheza Enzo, Gallagher na nani tena? Mimi sioni kama tumeleta quality players isipokuwa kama tutaingiza motivation kwa wachezaji wenda.
Huyo ameshachukuliwa na Liverpool haraka. Katika wote tuliounganishjwa nao huyo kijana ni mzuri sana70€ bei yake imechangamka Liverpool nao wanamtaka
Hazard Flop FactsBado mountView attachment 2672764
Huyu jovic alikuwa mchezaji mzuri na Chelsea pia walionesha nia ya kumtakaHazard Flop Facts
Mechi 73
goli 7 na
assists 11
= katika miaka minne,
A total flop katika historia ya Real Madrid na kuwazidi akina Luka Jovic, Kaka, James Rodriguez, Anelka na wengineo
Chelsea wakimuuza Mount wakamnunua huyu watakuwa wamefanya good businessIla Chelsea kumuachia huyu mwamba duh:
Dominik Szoboszlai
age 22
pos: CAM or No. 10
View attachment 2672529
Bado aisee hawajamchukua , Liverpool wanavizia kuanzia kesho , release clause iwe ime expire ili waweze ku negotiate Kama itawekezanaHuyo ameshachukuliwa na Liverpool haraka. Katika wote tuliounganishjwa nao huyo kijana ni mzuri sana
Newcastle wamejivuta vuta wakaambiwa watoe release clause wakajivuta. Klopp aliyekuwa anamtamani tangu 2019 haraka with no time wakatoa hiyo pesa sasa ni mchezaji wa Liverpool nadhani toka jana. Hata profile yake ya wikipedia imeshabadilishwa kuwa ni mchezaji wa Liverpool
Mbona profile yake ya wikipedia wameshabadilisha tangu juzi na leo naona wameondoa tena, basi kuna uhuni fulani kwenye hizi sajiliBado aisee hawajamchukua , Liverpool wanavizia kuanzia kesho , release clause iwe ime expire ili waweze ku negotiate Kama itawekezana
Na bado dili Ni gumu kwa Liverpool maana anatakiwa aondoe wachezaji
Inaumiza lakini hamna namna dogo alionesha wazi kutotaka kuendelea na timu huku akitaka mshahara mkubwa zaidiWazee hii ya mount… dah…![]()