lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,487
Out of copntext, sijazungumzia ukubwa na udogo, japo kwa vile umeleta mada, Chelsea ni Timu yenye Squad ghali kuliko zote duniani ikitanguliwa tu na cityChelsea ina ukubwa gani kuzidi AC Milan?
Chelsea ni klabu ya nane ghali duniani kuliko zote kwa maana ya Assets zote ikitanguliwa tu na Real Madrid, Man U, Barca, Liver, City, Bayern na PSG. Timu za Italy hata kwenye 10 bora hawapo kwenye ughali wa squad au ughali wa timu