Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ndani ya saa 24 hadi 48 Manitesa United na Chelsea watakutana ili wamalize tofauti zao na Mount akamilishe uhamisho wake. Ili na sisi tuanze pambano la kumpata Caicedo, Victor na Lavia
 
Inter Milan are set to bid a loan plus £25m option to buy for Lukaku.

Chelsea likely to reject as they insist on a permanent deal. It will take a reasonable type of loan(Obligation to buy)deal for Chelsea to say Yes to Inter.

Juventus are also keeping tabs.
 
1687871396940.png
 
Obi Mikel - Mchezaji ambaye hakudhaminiwa japo mchango wake ulikuwa mkubwa sana
Alikaa Stanford Bridge kwa miaka 10+ akiwa na muda mfupi sana wa mchezo lakini hakulalamika bali kila mara alipopewa nafasi alifanya hivyo kwa uzalendo. Katika fainali ya UEFA mnamo 2012, ilikuwa msingi wa ushindi wetu katikati ya uwanja
1687882230445.png
 
Chelsea wako serious na kumnunua Diogo Costa wa Porto kwa kulipa Release clause ya Eur 75M kwa awamu tatu

A Bola now reporting that Chelsea are in talks to sign Diogo Costa from FC Porto by paying his release clause in 3 instalments. The goalkeeper has a €75 million clause, which will rise to €100 million on July 1st. Jorge Mendes is working on the negotiations.

Kepa ana miaka 28 na
Diogo Costa ana miaka 23

Porto wana uhitaji wa kusaka mil kama Euro 50m kabla ya mwaka huu kuisha na njia pekee ni kumuuza kipa wao wa kutegemewa. Ripoti za CNN zinasema kuwa Diogo Costa atahamia EPL ndani ya siku chache zijazo

Big report from CNN Portugal today that Diogo Costa WILL be moving to a Premier League club in the next few days. FC Porto need to raise €50 million by Friday and see the sale of the goalkeeper as the ideal route. Manchester United and Chelsea have been linked.
https://twitter.com/falsewinger/status/1673706481961832449/photo/1
1687899347210.png
 
Hizi timu ndogo saa nyingine zinafaidi kuliko timu kubwa

AC Milan wanataka kwasajili wachezaji wawili kwa mil 35 za Euro
Cheek na Pulisic
Sisi tukimgusa Raphael Leao tutapigwa euro 150m
Acha kabisa aisee, halafu mwakan unakuta wanawauza kwa 40 had 50
 
Je wote hawa walikuwa ni takataka ndani ya chelsea Paundi mil 160 sio haba

View attachment 2670701
Toddy biashara anajua ,mambo ya mpira aachie wataalamu

Timu huwa Zina struggle kuwaondoa deadwoods, manjesta had Sasa hawawez kuuza na kuwavunjia mikataba gharama kubwa

Ila Toddy sijui anacheza rafu gan ,Tena anawauza Bei nzuri tu ,

Odoi £15m Bei nzuri Sana hii
 
Inter Milan are set to bid a loan plus £25m option to buy for Lukaku.

Chelsea likely to reject as they insist on a permanent deal. It will take a reasonable type of loan(Obligation to buy)deal for Chelsea to say Yes to Inter.

Juventus are also keeping tabs.
Timu za Italy sio zakufanya nao biashara kuwauzia , Hapo Wanataka kitonga had mkataba wa lukaku uishe wambebe bure

Hawataki loan with obligation to buy maana watailipa tu hiyo £25m

Wanataka with option to buy ili baadae wamrudishe au Kama mkataba umeisha wamchukue bure

Hakuna timu za kipumbavu kwenye biashara Kama za Italy , Sasa wewe ulizia mchezaji wao uone Bei yake
 
Timu za Italy sio zakufanya nao biashara kuwauzia , Hapo Wanataka kitonga had mkataba wa lukaku uishe wambebe bure

Hawataki loan with obligation to buy maana watailipa tu hiyo £25m

Wanataka with option to buy ili baadae wamrudishe au Kama mkataba umeisha wamchukue bure

Hakuna timu za kipumbavu kwenye biashara Kama za Italy , Sasa wewe ulizia mchezaji wao uone Bei yake
Timu nyingi ziliadhiriwa sana na Corona na mapato yalishuka sana na wasipotumia akili ya kubana matumizi watapitiwa na fyekeo la FFP kwa upande wa UEFA na ligi zao za ndani
Timu ambazo zinadunda bado ni zile zenye TV rights kubwa na mikataba mingine minono ya uhdamini z

Timu zote za Itally hazina nguvu tena ya kipesa

Conte kaikimbia Inter kwa sababu hiyo hiyo

So tusiwakumu kwa kweli

Uwezo wao sasa hivi ni wa kuwanunua wachezaji wa mil 5-20 mwenye nguvu sana mil 30

Wee wacheki Inter hata baada ya kutulangua Lukaku kwa Mil 100+ lakini bdo wako hoi kifedha

Hii ya Loan yenye obligation wamekubali kwa kumchukua mkopo wa mil 10 halafu baadaye wamnunua kwa lazima kwa mil 30 hiyo ndio inaitwa obligation to buy. Ila bado mazungumzo yanaendelea tunavyoongea sasa

Option to buy sio lazima, mkopo ukienda vizuri anmnunua
Mkookienda vibaya wanamuacha, na mara nyingi hii ya option to buy hawaweki kwa sababu ukieka au kutoweka maana ni ile ile. Mfano sisi kwa Denis Zakaria
Obligation to buy hata kama mkopo haukuenda vizuri ni lazima wamnunue na wakikwepa wataishia kwenda kulipa kwa amri ya mahakama
 
Chelsea mlengwa wao mkubwa kwa upande wa kipa wa kushika nafasi ya Mendi ni Diogo Costa wa Porto. Wanamchukulia kama golkipa bora zaidi wa sasa ulimwenguni.
Wako tayari hata kulipa €75m ambayo Porto wanataka lakini kwa awamu 3 pekee ili kuepuka ukiukaji wa FFP

Kepa ana miaka 28
Costa ana miaka 23

Nini maoni yako?

Kwa maoni yangu binafsi huyu Diogo Costa ni type ya akina Alisson Beker tusimwache, ndio maana Chelsea wanamng'ang'ania kwa Euro mil 75



1687923737222.png
 
Kabla ya Kante kujiunga na Chelsea, tulimaliza katika nafasi ya 10 kwenye PL tukiwa na mustakabali usio na uhakika - Kante bado alichagua Chelsea na kimsingi alishinda makombe makubwa ya ligi na UEFA na kuwa LEGEND wa kihistoria kwa Chelsea.

Ikiwa Caicedo atatia saini, atajiunga na timu iliyo katika nafasi sawa na ile mwaka wa 2016. Nafasi ya kuunda historia kama ya Kante iko pale pale

Na safari hii Caicedo ana bahati anakutana na Kiungo machachari aitwaye Enzo. Wakati Kante anakuja alikutana na akina Jorginho ambao walihitaji kubebwa, Kwa uchezaji wa Kante alihitajika DM mwenye uwezo wa kumruhusu Kante acheze box to box ambayo ndio style yake

Karibu Caicedo darajani

1687925305548.png
 
Kabla ya Kante kujiunga na Chelsea, tulimaliza katika nafasi ya 10 kwenye PL tukiwa na mustakabali usio na uhakika - Kante bado alichagua Chelsea na kimsingi alishinda makombe makubwa ya ligi na UEFA na kuwa LEGEND wa kihistoria kwa Chelsea.

Ikiwa Caicedo atatia saini, atajiunga na timu iliyo katika nafasi sawa na ile mwaka wa 2016. Nafasi ya kuunda historia kama ya Kante iko pale pale

Na safari hii Caicedo ana bahati anakutana na Kiungo machachari aitwaye Enzo. Wakati Kante anakuja alikutana na akina Jorginho ambao walihitaji kubebwa, Kwa uchezaji wa Kante alihitajika DM mwenye uwezo wa kumruhusu Kante acheze box to box ambayo ndio style yake

Karibu Caicedo darajani

View attachment 2671260
kanté kaanza kuja chelsea kabla ya jorginho..

kanté 2016 while jorginho 2018.
 
Hizi timu ndogo saa nyingine zinafaidi kuliko timu kubwa

AC Milan wanataka kwasajili wachezaji wawili kwa mil 35 za Euro
Cheek na Pulisic
Sisi tukimgusa Raphael Leao tutapigwa euro 150m
Chelsea ina ukubwa gani kuzidi AC Milan?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom