OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Oyaaa Chelsea tumefikia api kune suala la usajili? Tumeuza ama tumenunua?!
Hii ndio inatrend kumhusu KanteNimeona habari kwenye light ya Kante kwenda Uturuku...Kuna ukweli kiasi gani? Huku nilipo naona habari zinachujwa kwanza ndipo wananchi tunazipata.
Mashabiki kama ww mpo wachache sana duniani.😂Oyaaa Chelsea tumefikia api kune suala la usajili? Tumeuza ama tumenunua?!
Hawa lazima waondoke1. Kante
2. Kovacic
3. Koulibaly
4. Ziyech
5. Kai
6. Mendy
7. Cheek
8. Mount
Auba........
Pulisic.....
Azip.......
Cucurela
Gallagher
Sterling![]()
Pale tunaye mridhi wa Marina tena mzuri sana£60M kwa Mount,Biashara nzuri
Sasa tuingie sokon
Mashabiki kama ww mpo wachache sana duniani.😂
Pale tunaye mridhi wa Marina tena mzuri sana
Nenda hapaBwana Lembu mambo vip ..nipe lipoti zaa usajili
Oyaaa Chelsea tumefikia api kune suala la usajili? Tumeuza ama tumenunua?!






Mashabiki kama ww mpo wachache sana duniani.
Sasa kama unakili kijana umri huo anatoka kulipwa £ 15,000 kwa week unajicommit kwa £200,000 sasa huo siukichaa? Hiyo kiumeni tunasema mwamba nguvu yake ya kutongoza nindogo anawashawishi mademu kwa hela. Sasa kama ni hivo kwanini wasije kuchuma pesa?Jua sababu kw nini Caicedo kakubali kusajiliwa Chelsea badala ya Arsenal na hao wengine
Brighton alikuwa akilipwa hivi kwa msimu
2020/21 - £1,500/wiki
2021/22 - £3,500/wiki
2022/23 - £15,000/wiki baada ya lile saga la kumsajili january wakamshawishi kwa kumuongezea mshahara
Chelsea tukaingia kwa majadiliano ya kumsajili msimu huu sasa, Caicedo akatoa mahitaji yake kuwa anataka £200,000, Chelsea wakamkubalia
Kazi sasa imebaki kwa Chelsea na Brighton kukubaliana,
Taarifa nilizonazo ni kwamba Man u hawakuwahi kuingia kwenye kinyang'anyiro na wala hawana mpango huo, lengo lao kubwa ilikuwa ni Mount tu
Pia Arsenal baada ya sakata la Rice sasa watapeleka mahsambulizi yao kwa Timber, kwa uchovu walioupata kwa Rice na kwa mahitaji ya mshara wa Caicedo Arsenal hawataweza kujiingiza kwenye sakata la kumsajili Caicedo
View attachment 2673544
Wivu yako naiona kwa mbaliSasa kama unakili kijana umri huo anatoka kulipwa £ 15,000 kwa week unajicommit kwa £200,000 sasa huo siukichaa? Hiyo kiumeni tunasema mwamba nguvu yake ya kutongoza nindogo anawashawishi mademu kwa hela. Sasa kama ni hivo kwanini wasije kuchuma pesa?
Mkuu unatoa Hela mfukoni kwako acha watu walipwe vizuri maisha ya mpira mafupi wivu ni kidonda.Sasa kama unakili kijana umri huo anatoka kulipwa £ 15,000 kwa week unajicommit kwa £200,000 sasa huo siukichaa? Hiyo kiumeni tunasema mwamba nguvu yake ya kutongoza nindogo anawashawishi mademu kwa hela. Sasa kama ni hivo kwanini wasije kuchuma pesa?
Sure I hope tutawasajili wote hao kwa sababu pesa sio shida.Chelsea wakifanikiwa kuwasajili hawa sisi ni title contenders wazuri tu
Total Eur 308M
- Diogo Costa Eur 75M
- Moises Caicedo £80m
- Gabriel Veiga Eur 40m
- Victor Osimhen Eur 100
Huwez kumpata Victor kwa €100m hiyo Ni Kama £85m hivi , na Napoli walimnunua kwa €80M ,Ndio maana De Laurentiis anasema atamuuza Victor kwa €130-140mChelsea wakifanikiwa kuwasajili hawa sisi ni title contenders wazuri tu
Total €315M
- Diogo Costa €75M
- Moises Caicedo €100m
- Gabriel Veiga €40m
- Victor Osimhen €100