Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Rivals now wanalalamika na kulia hovyo, Kisa tu tunauza Wachezaj wetu Saudi Arabia
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
Wako kama Yona
Walifikiri tutanasa mtego wa FFP na sasa wanapoona tunategua mtego wanaona wivu hasa mashabiki wa Arsenal ndio wanaoongoza kwenye mitandao kulalamika. Twitter kule kumenuka na kuanza kudao Wasaudia wamewekeza Chelsea kupitia Clearlake Capital
 
Wako kama Yona
Walifikiri tutanasa mtego wa FFP na sasa wanapoona tunategua mtego wanaona wivu hasa mashabiki wa Arsenal ndio wanaoongoza kwenye mitandao kulalamika. Twitter kule kumenuka na kuanza kudao Wasaudia wamewekeza Chelsea kupitia
Wivu unawasumbua
 
Yaani Madueke ni 1st team? Odoi aliefunga kilemba.
Pochetino ana kazi ngumu sana.
comments zako huwa ziko too extreme, kwa uchezaji wake ni tofauti kabisa na Odoi, it is not fair kuwalinganisha
Madueke anaye drible sana, Odoi hawezi kudrible
Dribbling za Madueke hata asipofunga au kuassist zinatengeneza nafasi kwa wengine kufunga
Tuko hapa tutashuhudia kwa wino wala sio mate
Na ndio maana Madueke kapata nafasi ya kucheza first choice wa winga wa kulia zaidi ya Ziyech, Sterling nk
Pochettino ndio kabisa atampa hati miliki ya hiyo winga wa kulia
Na ninaamini kabis Madueke atakuwa na chemistry nzuri na Nkunku katikati, James/Gusto na hata Enzo kwa upande huo wa kushoto. Na atasumbua kwa muda mrefu. Atakosa namba tu kama tutasajili bora zaidi yao
 
Official, confirmed. Christopher Nkunku signed a six year deal as Chelsea player valid until June 2029. #CFC
Fee close to €60m to RB Leipzig.

“I am incredibly happy — big effort was made to bring me to the club, I wanna show Chelsea supporters what I can do on the pitch”.
-Fabrizio Romano

1687254220510.png
 
Sijui kama kuna mchezaji aliyepitia mchakato mrefu wa kuja darajani kama Nkunku

  • Nkunku did his medical under Thomas Tuchel in the summer.
  • Signed a pre-agreement with Chelsea under Graham Potter.
  • Joins to play under Mauricio Pochetti
 
comments zako huwa ziko too extreme, kwa uchezaji wake ni tofauti kabisa na Odoi, it is not fair kuwalinganisha
Madueke anaye drible sana, Odoi hawezi kudrible
Dribbling za Madueke hata asipofunga au kuassist zinatengeneza nafasi kwa wengine kufunga
Tuko hapa tutashuhudia kwa wino wala sio mate
Na ndio maana Madueke kapata nafasi ya kucheza first choice wa winga wa kulia zaidi ya Ziyech, Sterling nk
Pochettino ndio kabisa atampa hati miliki ya hiyo winga wa kulia
Na ninaamini kabis Madueke atakuwa na chemistry nzuri na Nkunku katikati, James/Gusto na hata Enzo kwa upande huo wa kushoto. Na atasumbua kwa muda mrefu. Atakosa namba tu kama tutasajili bora zaidi yao
kAma pochetino akimtgemea Odoi mirasta kwnye 1st team, pre season tu anafukuzwa, bora upande huo acheze Sterling na mbavu nyingine Mudryk. Bora papara za Sterling kuliko za huyo Odoi mpya.
 
Chelsea wametoa ofa ya Euro mil 60 kumsajili Aurélien Tchouaméni na Real MAdrid wakakataa
Sasa nasikia Chelsea tena wametoa Euro mil 80 na tunasubiri response ya Real Madrid
Ila hjii news sijasikia reporter reliable kama Fab na wenzake wakiripoti, ni magazeti ya udaku tu
Ancelotti amemnyima Tchouameni kucheza na kwa ujio wa Jude Bellingham anaweza sasa asicheze kabisa
Chelsea wakimnunua sijui hatima ya Caisedo itakuwa wapi?
Halafu pia Ili kupata nguvu ya kumsajili Mbape msimu huu wa kiangazi ni lazima baadhi ya wachezaji waliojazana nafasi moja wauzwe. Tusishangae hata Federico Valverde naye akiuzwa
Tukumbuke pia kuwa Rel Madrid walimnunua Aurélien Tchouaméni kwa Euro mil 80 msimu uliopita kutokea AS Monaco
Nasikia pia Newcastle wametoa hiyo ofa
1687278799229.png
 
Ratiba ya Chelsea mwezi wa Saba 2023
  1. 1st July - Pochettino begins work
  2. 3rd July - Team meeting
  3. 4th July - Pre-Season begins
  4. 17th July - Fly out to America
  5. 19th July - Wrexham
  6. 22nd July - Brighton
  7. 26th July - Newcastle
  8. 30th July - Fulham
  9. 2nd August - Borussia Dortmund
 
Kufuru ya waarabu, at age of 32 Ngolo asign miaka mitatu kila mwaka Pound million 86, sawa na Tshs Billion 5.45 kwa wiki. Aisee mpira unalipa
 
Kufuru ya waarabu, at age of 32 Ngolo asign miaka mitatu kila mwaka Pound million 86, sawa na Tshs Billion 5.45 kwa wiki. Aisee mpira unalipa
Sio kweli Ni €25m kwa mwaka , kwa miaka minne €100m

Kwa mwaka Ni Kama paund 20m
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom