Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Siwez kumponda Kai ever... nakumbuka best moment with Chelsea kiujumla team imekua mbovu tu kwani uwanjani yupo yy mwenyewe? Enzo mwenyewe kaja kwa mbwembwe tumeishia kuvurunda tu sema mna chuki binafs nae tu
We unaona Enzo anacheza hovyo kama huyo bwana ako?! Kai Ligi imemshinda. Mchezaji kalegea kama analiwa kichuli.
 
Kutoka paundi mil 60 hadi mil 30

Jamani Cucu sio mbaya kiasi hich auzwe kwa bei ya kutupa? Ana miak 24 tu. Kama hapati bei nzuri tumpe nafasi!

Au tumuuzie City walikuwa tayari kutoa paundi Mil 40

1687034799589.png
 
Mbona sisikii Chelsea ikimvizia huyu João Palhinha wa Fulam?
Ana work rate kubwa zaidi ya DM wengi wa EPL
Ana miaka 27

João Palhinha Premier League Stats Breakdown-
  1. Age: 27-
  2. Height: 190cm-
  3. Position: CDM-
  4. Premier League Appearances: 35-
  5. Average 4.2 tackles per game-
  6. And 1.3 interceptions per game

1687077791566.png
 
Tunatambua kuwa Al-Hilal wamekubali masharti ya kibinafsi na #Koulibaly Tunaendelea kujiepusha na adhabu ya #FFP kabla ya msimu mpya tarehe 1 Julai 2023

#Lukaku, #Ziyech, #Havertz, #Mount, #Kovacic, #Cucurella, #Mendy, #Pulisic, #Auba, #Chalobah wote wakiwa wako mbioni kuondoka #Chelsea.

Orodha ya Wachezaji wa Chelsea walioondoka Chelsea
1. Ngolo Kante aliondoka na kupunguza mzigo wa deni
2. Kalidou Koilibaly hadi Saudi (m30)
3. Hakim Ziyech pia anatoka (m 15)
4. Rumelu Lukaku hataki ofa kutoka Saudia lakini mwisho wa siku atakubali tu kwa sababu Chelsea wamekataa kumpa mkopo (40m)
5. Kai Havertz kwenda Arsenal (60m)
6. Mason Mount hadi Man U (60m)
7. Aubameyang hadi Saudi (m 10)
8. Conor Gallagher hadi Brighton (m 40)
9. Mateo Kovacic kwenda Man City (35m)
10. Ruben Loftas Shavu kwa AC Milan(m25m)
11. Marc Cucurela hadi Newcastle (30m)
12. Trevoh Chalobah hadi Inter (30m)
13. Edouard Mendy kwenda Saudi (m 15)
14. Christian Pulisic (m 40)
Kwa orodha hiyo tutaokoa takriban pauni milioni 435
Na bado tutapunguza mzigo wa mishahara
 
Wamaliziaji wazuri wa Laliga msimu ulioisha ni
  1. Nicolas Jackson 100% to Chelsea
  2. Asensio: 98%
  3. Griezmann: 95%
  4. Gabriel Veiga: 95% to Chelsea
Hivi huyo Nicolas Jackson kwenye upande wa finish yupo vizuri?
 
Hivi huyo Nicolas Jackson kwenye upande wa finish yupo vizuri?
Michezo nane ya mwisho goli 9
Ndio form yake inaibuka, ufungaji wa magoli mengi yalitokea ligi ilipokuwa inafikia mwisho, hope ataendlea kukua zaidi
Usajili ni gamble kumbuka
 
Alipocheza Havertz: Tulishinda 68 | Droo 33 | tulipoteza 38; wining percentage ni 48.9%
Bila Havertz: Tulishinda 20 | Droo 10 | tulipoteza 3; wining percentage ni 60.6%

Tumuuze tusimuuze?

1687114444219.png
 
Tunatambua kuwa Al-Hilal wamekubali masharti ya kibinafsi na #Koulibaly Tunaendelea kujiepusha na adhabu ya #FFP kabla ya msimu mpya tarehe 1 Julai 2023

#Lukaku, #Ziyech, #Havertz, #Mount, #Kovacic, #Cucurella, #Mendy, #Pulisic, #Auba, #Chalobah wote wakiwa wako mbioni kuondoka #Chelsea.

Orodha ya Wachezaji wa Chelsea walioondoka Chelsea
1. Ngolo Kante aliondoka na kupunguza mzigo wa deni
2. Kalidou Koilibaly hadi Saudi (m30)
3. Hakim Ziyech pia anatoka (m 15)
4. Rumelu Lukaku hataki ofa kutoka Saudia lakini mwisho wa siku atakubali tu kwa sababu Chelsea wamekataa kumpa mkopo (40m)
5. Kai Havertz kwenda Arsenal (60m)
6. Mason Mount hadi Man U (60m)
7. Aubameyang hadi Saudi (m 10)
8. Conor Gallagher hadi Brighton (m 40)
9. Mateo Kovacic kwenda Man City (35m)
10. Ruben Loftas Shavu kwa AC Milan(m25m)
11. Marc Cucurela hadi Newcastle (30m)
12. Trevoh Chalobah hadi Inter (30m)
13. Edouard Mendy kwenda Saudi (m 15)
14. Christian Pulisic (m 40)
Kwa orodha hiyo tutaokoa takriban pauni milioni 435
Na bado tutapunguza mzigo wa mishahara

Kama nilivyokisia mwanzoni, dili la Koulibally tunaweza pata hadi mil 30 au zaidi. Mazungumzo bado yanaendelea

By Fabrizio Romano

Understand opening bid from Al Hilal to Chelsea for Kalidou Koulibaly is around €25/30m.
Negotiations will continue in the next days. #CFC
Three year deal offered to the player.
More on Ziyech, Mendy, Koulibaly and Saudi clubs:

https://youtu.be/Y_DdFG0pYv8
1687122846183.png
 
Cucurela sijui huwa ana wenge gani ,yaani nikimuangalia huwa nacheka sana ,tangia aje Chelsea haijatulia kabisa ile njemba ,sijui nani kamloga , ila pochettino angempa nafasi ,awe backup ukizingatia chillwell naye ni gari la mkaa tu ,majeruhi kama yote msimu mzima
 
Thiago silva hawezi kukaa benchi ni kumkosea heshima huyo ndio beki wetu Bora
Msimu ujao kutakuwa na rotation kubwa ya CB, Silva ni beki bora hakuna mtu anayekataa ila sio beki wa Chelsea wa Muda mrefu, kumbuka kwamba ana miaka 38. Pochettino ninavyomjua atawekeza zaidi kwa youngstars ambao ndio wako kwenye long term plan ya mradi. Colwill, Badiashile, Fofana watapewa muda mkubwa zaidi ya Silva kwa ajili ya kuwajenga. Kocha asiyejitambua tu ndie atakayemng'ang'ania Silva na kuwaacha akina Colwill, Badiashile na Fofana wakicheza mara chache.
Tutategemea msimu ujao mtu kama Azpi na Silva kama wote watakuwepo, watakuwa washauri zaidi ya hao vijana kwenye Dressing room.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom