The Next Didie Drogba, atakuja kuwafanya mbaya subirini tu muoneWazee wa ku-sign vilaza.
Wazee wa kupigwa.
Bado hajapata pesa mkuuu na kaingia mjin kwa kuchelewaNoni Madueke
- Mchezaji asiye na mawaa
- Hana Kashfa
- Haweki Tatoos
- Hakati nywele kiaina
- Simply hana mawaa
Chelsea wao wanaangalia hela watakaomeet team inayomtaka labda itokee Arsenal na Bayern wamepeleka offer Sawa ndipo chelsea wataopt kuumuuzia BayernBREAKING: Arsenal face competition from Bayern Munich for Chelsea forward Kai Havertz.Arsenal have already had one offer for £75m rated Havertz rejected by their London rivals.- talkSPORT sources understand
TT naye anamtaka Havertz
Chelsea inge prioritize kumuuza Havertz Bayern kuliko Arsenal
May opinion
View attachment 2660247
Takwimu zake zikoje?BREAKING NEWS: Kumekucha
Chelsea have decided to activate the release clause for Nicolas Jackson!
Chelsea are set to pay €35m, discussing installments.
3 more clubs open to pay the clause; so Chelsea will be fast as player wants PL move.
Contract will be long, more than 5 year.
Here we go soon.
-Fabrizio Romano
View attachment 2660299
Ana miaka 21 tuTakwimu zake zikoje?
Mimi ninachosema, tutakuja kujuta kwa kumuuza Havertz, Kuja kwa kocha mpya ingekuwa ndio fursa ya kumpa opportunity nyingine ya kun'gara. Siamini kwamba Havertz ndie alikuwa tatizoKwenye mechi ngapi ngapi iko ndio kinachomatter
Hata mimi nina mtazamo kama wa kwako lakini najuliza kama wanamuuza Kai imekuaje wamemuachia jao felix?Mimi ninachosema, tutakuja kujuta kwa kumuuza Havertz, Kuja kwa kocha mpya ingekuwa ndio fursa ya kumpa opportunity nyingine ya kun'gara. Siamini kwamba Havertz ndie alikuwa tatizo
Chelsea sisis tuna matatizo mengine ikiwemo kuwafuga wacheza wanaonung'unika kila saa
Kiukweli hatuwezi kujuta kwa Kai. Sidhan kama ana jipya saana la kuoffer kwetu Sisi. Ni vema auzwe kwa pesa nzuri tupate hela ya kununua wengine.Mimi ninachosema, tutakuja kujuta kwa kumuuza Havertz, Kuja kwa kocha mpya ingekuwa ndio fursa ya kumpa opportunity nyingine ya kun'gara. Siamini kwamba Havertz ndie alikuwa tatizo
Chelsea sisis tuna matatizo mengine ikiwemo kuwafuga wacheza wanaonung'unika kila saa
Siwez kumponda Kai ever... nakumbuka best moment with Chelsea kiujumla team imekua mbovu tu kwani uwanjani yupo yy mwenyewe? Enzo mwenyewe kaja kwa mbwembwe tumeishia kuvurunda tu sema mna chuki binafs nae tuHata mimi nina mtazamo kama wa kwako lakini najuliza kama wanamuuza Kai imekuaje wamemuachia jao felix?
Kai kama kai ni mchezaji mzuri, sisi Chelsea tulikuwa na shida nyingi hasa msimu huu ulioisha na hata misimu miwili iliyopita pia. Tangu afukuzwe Conte, Chelsea ilifuatiliwa na kuondoka kwa Hazrd mhimili wa timu akaja Lampard ambaye sio kocha mzuri na ni wakati wa BAN, mara akaja TT akajitahidi akatupa UCL na yale makombe madogomadogo puu mara ban tena na safari hii ni BAN ya kufanya matumizi na kusajili wachezaji. Puuu wachezaji wakaanza kutukimbia na hatuwalaumu, akina Rudiger walikuwa ni wazalendo kweli. Mara wakaja wamiliki wapya na wajuaji kweli kweli, Boehly kila idara akakamata na mambo yakazidi kuwa mabay6a, morale ya wachezaji ikaisha kabisa, kila mchezaji hapaform. Mimi nilimuona Enzo peke yake ndie alikuwa anapambana tu. Sasa ndi tunafufukaKiukweli hatuwezi kujuta kwa Kai. Sidhan kama ana jipya saana la kuoffer kwetu Sisi. Ni vema auzwe kwa pesa nzuri tupate hela ya kununua wengine.
Sasa mtu kama Odoi wa nini ? ,Mbona tuna keep matakataka mengi kwenye payroll a kuongeza gharama zisizo na maana aisee ? Hii timu haina strategists au ? ,hawa wengi ni wa kuuzwa msimu huu ,wakiuzwa takataka wote hao tunarudisha pesa iliyotumika kusajili dirisha dogo lililopita na tunabaki na pesa nzuri tuWachezaji 79 ambao bado kwenye payroll ya Chelsea hawa hapa
- Akomeah, Travis
- Ampadu, Ethan
- Ampah, Ato Bondze
- Anjorin ,Faustino Adebola Rasheed
- Arrizabalaga Revuelta, Kepa
- Aubameyang, Pierre-Emerick
- Azpilicueta Tanco, Cesar
- Baba, Abdul Rahman
- Badiashile Mukinayi, Benoit Ntambue
- Beach, Edward James
- Bergstrom, Lucas Carl Edvard
- Bettinelli, Marcus
- Boniface, Somtochukwu Alan
- Broja, Armando
- Brooking, Joshua Royston
- Burstow, Mason
- Campbell, Luke
- Casadei, Cesare
- Castledine, Leo Alexander Francis
- Chalobah, Trevoh Tom
- Chibueze, Chinonso Mcanthony Abi
- Chilwell, Benjamin James
- Chukwuemeka, Carney Chibueze
- Cucurella Saseta, Marc
- Cumming, James Andrew
- Curd, Ted
- Elliott, Benjamin Njongoue
- Emiliano Da Silva, Thiago
- Fernandez, Enzo Jeremias
- Flower, Louis Christopher
- Fofana, David Datro
- Fofana, Wesley Tidjan
- Gallagher, Conor
- Gee, William Peter
- George, Tyrique Aaron Delali Yusuff
- Gilchrist, Alfie
- Giraud-Hutchinson, Omari Elijah
- Gusto, Malo Arthur
- Hall, Lewis
- Havertz, Kai Lukas
- Hudson-Odoi, Callum James
- Hughes, Brodi
- Humphreys, Bashir
- James, Reece
- Kante, Ngolo (Offer)
- Koulibaly, Kalidou
- Kovacic, Mateo
- Loftus Cheek, Ruben
- Lukaku Bolingoli, Romelu
- Maatsen, Ian
- Madueke, Chukwunonso
- McMahon, Harrison
- Mcneilly, Donnell Ocarriel
- Mendy, Edouard Osoque
- Merrick, Max Andrew
- Morgan, Jimmy-Jay
- Mothersille, Malik Maine (Offer)
- Mount, Mason
- Mudryk, Mykhailo
- Nascimento Dos Santos, Andrey
- Olise, Richard Oghenekome
- Pulisic, Christian Mate
- Rak Sakyi, Samuel
- Rankine, Dion Joseph
- Samuels Colwill, Levi Lemar
- Sarr, Malang Mamadou William
- Sharman-Lowe, Teddy Samuel
- Silcott-Duberry, Zain Rio
- Slonina, Gabriel Pawel
- Sterling, Raheem
- Sturge, Zak Norton
- Stutter, Ronnie Edward
- Tauriainen, Jimi Weikko
- Tlemcani, Sami
- Vale, Harvey James
- Webster, Charles Clive
- Williams, Dylan Riley
- Wilson, Kaiden Carlton Anthony
- Ziyech, Hakim
Wamchukue na azpilicuetaHizi timu za Uarabuni zinaweza kuja kutuepucha na panga la FFP kwa hawa wachezaji wazee
Hata wakitupa 20m kwa kila moja tutakuwa na pesa za Caisedo tayari
- Koulibaly
- Auba
- Ziyech
- Lukaku
- Mendy
View attachment 2660488
Wamchukue na azpilicuetaHizi timu za Uarabuni zinaweza kuja kutuepucha na panga la FFP kwa hawa wachezaji wazee
Hata wakitupa 20m kwa kila moja tutakuwa na pesa za Caisedo tayari
- Koulibaly
- Auba
- Ziyech
- Lukaku
- Mendy
View attachment 2660488