Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Vincent Aboubakar though ana miaka 31 ila jamaa anajua sana kuzifumania nyavu. Ningekuwa nahusika na usajili wa chelsea ningemchukua huyu mcameroon....jamaa anajua kufosi , anajua ku-bully defenders wa timu pinzani,Anauwezo wa kupiga mashuti,dribbling, skills za kutosha.

Ametoka Al-Nassr january na kwenda besiktas ,uturuki..mpaka sasa amecheka game 14 za ligi na amezifumania nyavu mara 12.

Jamaa ana character za drogba kabisa ,mi ni mshabiki wake toka alipokuwa Fc Porto.
 
Humo nyuma nilikiwa namuona wa kawaida sana ila miumweli ameitranform Brighton zaidi ya ile team ya Potter
Hata huyu Mykhailo Mudryk alionekana mzuri mara baada ya kuwa transformed na De-Zerbi...ni kama unavyomuona Kaoru Mitoma ndivyo Mudryk alivyokuwa Shakhtar chini ya De-Zerbi...

Jana brighton walijua kuwapelekesha Man city
 
Mazungumzo ya kumbenbeleza Lukaku akubali kuichezea Chelsea chini ya Pochettino yataanza baada ya fainali ya UEFA. Hata hivyo kurudi kwa Lukaku haitabatilisha mpango wa uongozi wa Chelsea kumsajili striker mzuri msimu huu.
Mshambuliani wa Napoli Victor Osimhen ndiye aliye kwenye target ya Chelsea. Chelsea pia ina mpango wa kumsajili kiungo mkabaji wa kuweza kumsaidia Enzo kwenye ushambuliaji. Hiyo ni kwa sababu kuna kila uwezekano Kovacic akaondoka. TT anamtaka sana Kovacic pale Bayern na Kante bado hawajaafikiana juu ya mkataba wake na Chelsea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom