Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Madueke ndiye alikuwa very active kipindi cha kwanza
Sijui kama aliendelea hivyo kipindi cha pili, umeme ulikata hapa kwetu
 
Rasmi kwamba tutamaliza msimu huu tukiwa nafasi ya 9 kushuka chini, hii ni furaha kubwa kwangu mana sitak tushiriki michuano mingi msimu ujao
 
Todd baada tu ya kuingilia suala la usajili na ubabe wake wote huo haya ndio matunda yake
Si mlikuwa mnafurahia pale mnaposhinda battle ya usajili dhidi ya timu nyingine???

Refer Mykhalo saga....
 
Hawa madogo...Madueke na Mudryk inabidi wapate makocha kama Conte au Mourinho wangenyooka na wangeacha ubishoo.

Ligi ya Epl ni tofauti na ligi kuu ya uholanzi na ukraine. Huku mabeki wanatumia nguvu, wanakimbia sana na hawakupi nafasi za kukimbia na mpira kwa umbali mrefu.Hawa madogo wanacheza kiuoga sana muda mwingi wanashughulika kurekebisha nywele zao badala ya kucheza mpira.

Madueke amepata chance nyingi ila ana ubinafsi ,anataka afunge yeye tu hata kama yupo kwenye nafasi ambayo si ya kufunga. Timu ikishambuliwa hakimbii wala hakabi.


Mudryk ,huyu nae anacheza kiuoga ,sehemu ya kukaza tako yeye anajilegeza, game ya leo muda mrefu hajaonekana kiwanjani.
 
Hawa madogo...Madueke na Mudryk inabidi wapate makocha kama Conte au Mourinho wangenyooka na wangeacha ubishoo.

Ligi ya Epl ni tofauti na ligi kuu ya uholanzi na ukraine. Huku mabeki wanatumia nguvu, wanakimbia sana na hawakupi nafasi za kukimbia na mpira kwa umbali mrefu.Hawa madogo wanacheza kiuoga sana muda mwingi wanashughulika kurekebisha nywele zao badala ya kucheza mpira.

Madueke amepata chance nyingi ila ana ubinafsi ,anataka afunge yeye tu hata kama yupo kwenye nafasi ambayo si ya kufunga. Timu ikishambuliwa hakimbii wala hakabi.


Mudryk ,huyu nae anacheza kiuoga ,sehemu ya kukaza tako yeye anajilegeza, game ya leo muda mrefu hajaonekana kiwanjani.
Watakuwa mikononi salama mwezi ujao akishaajiriwa Pochettino
Hawa wachezaji tutawafaidi sana
1683403330774.png
 
Sera ya Chelsea kwa wachezaji wapya iliyowekwa January 23 ni kwamba kila mchezaji mpya atapunguziwa mshahara wake kwa 30% kama Chelsea haitafudhu michuano ya UEFA.
They deserve it!
Hata hawa wapya pia wanastahili kukatwa!
Ila swali ni hili, je hao walionyimwa kucheza nao wanahusikaje kwa timu kushindwa kufuzu UEFA?
Hii sera itakuwa ya kiuonevu kabisa
 
U23 Chelsea Squad
4-3-3


Mykhaylo Mudryk (LW)..........Armando Broja (ST)...........Noni Madueke (RW)


Carney Chukwuemeka (CM)....... Enzo Fernández (CM).......... Andrey Santos (CM)


Lewis Hall (LB)... Benoît Badiashile (LCB)... Wesley Fofana (RCB)... Malo Gusto (RB)


..........................................................Gabriel Slonina (GK)...................................................

Subs
1) David Datro Fofana (ST)
2) Levi Colwill (LCB)
3) Ethan Ampadu (CDM)
4) Ian Masten (LB)
5) Cesare Casadei (AM)
6) Callum Hudson Odoi (LW)
 
Hawa madogo...Madueke na Mudryk inabidi wapate makocha kama Conte au Mourinho wangenyooka na wangeacha ubishoo.

Ligi ya Epl ni tofauti na ligi kuu ya uholanzi na ukraine. Huku mabeki wanatumia nguvu, wanakimbia sana na hawakupi nafasi za kukimbia na mpira kwa umbali mrefu.Hawa madogo wanacheza kiuoga sana muda mwingi wanashughulika kurekebisha nywele zao badala ya kucheza mpira.

Madueke amepata chance nyingi ila ana ubinafsi ,anataka afunge yeye tu hata kama yupo kwenye nafasi ambayo si ya kufunga. Timu ikishambuliwa hakimbii wala hakabi.


Mudryk ,huyu nae anacheza kiuoga ,sehemu ya kukaza tako yeye anajilegeza, game ya leo muda mrefu hajaonekana kiwanjani.
Chini ya kocha mzuri hawa madogo watakuwa salama, na watazidi kuimarika
 
Hawa madogo...Madueke na Mudryk inabidi wapate makocha kama Conte au Mourinho wangenyooka na wangeacha ubishoo.

Ligi ya Epl ni tofauti na ligi kuu ya uholanzi na ukraine. Huku mabeki wanatumia nguvu, wanakimbia sana na hawakupi nafasi za kukimbia na mpira kwa umbali mrefu.Hawa madogo wanacheza kiuoga sana muda mwingi wanashughulika kurekebisha nywele zao badala ya kucheza mpira.

Madueke amepata chance nyingi ila ana ubinafsi ,anataka afunge yeye tu hata kama yupo kwenye nafasi ambayo si ya kufunga. Timu ikishambuliwa hakimbii wala hakabi.


Mudryk ,huyu nae anacheza kiuoga ,sehemu ya kukaza tako yeye anajilegeza, game ya leo muda mrefu hajaonekana kiwanjani.
Madueke hamna kitu mule, uchezaji wake kama odoi.
Mudryk mtu, akipata kocha namuona mbali, ndio mana mpk leo Kondoo roho zinawauma kumkosa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom