Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Leo Arteta kwenye vyumba vya kubadilishia nguo, atakuwa anamuongelea Boehly tu kuwa motivate wachezaji
 
Leo Arteta kwenye vyumba vya kubadilishia nguo, atakuwa anamuongelea Boehly tu kuwa motivate wachezaji
Acha kujichoresha, yaan nyie kweli kondoo mmeshindwa kuchukua ubingwa kwa kumfunga city mnakuja kujisifia kumfunga chelsea ambae amejifiaga zake siku nyingi. Halafu mlivyokua vilaza mnaweza hata msishinde.
 
Acha kujichoresha, yaan nyie kweli kondoo mmeshindwa kuchukua ubingwa kwa kumfunga city mnakuja kujisifia kumfunga chelsea ambae amejifiaga zake siku nyingi. Halafu mlivyokua vilaza mnaweza hata msishinde.
Nyie ndo miyeyusho, timu lenu bovu alafu mnakuja kutucheka sie. Leo ndo mtasema hiyo nguvu mnaitolea wapi
 
Mtanikumbuka
FvIncv0XoAAJ-WC
 
Halafu acheni kumshusha Boehly na kumdharau. Yeye ndiye sababu nyie Bado mpo premier league. Mnakumbuka mlikuwa hatarini kufutwa kwenye ramani ya soka la uingereza siku za karibuni tu hapa mkawa mnalialia Kwa stress humu? Mashabiki wa Chelsea walikuwa wameshaanza kuzingatia kurudi kushabikia Arsenal walipotokea. Boehly akawaokoa Sasa mmenenepa mnajitoa ufahamu mnasahaou fadhila.
Mpeni Boehly maua yake acheni lawama asizostahili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom