Mauricio Pochettino ni mpenzi sana wa 4-2-3-1
Mfumo huu unatumiwa zaidi ya makocha wanaosisitiza counter attack
Kwa mfumo huu tunaweza tusione ubora wa wing-backs wetu akina Reece James na Chilwell
Pia nasikia akiwa Spurs alitumia zaidi mfumo wa wing-backs na kama atakuwa flexible basi itakuwa ni kwa faida ya timu
Pia tutaona akina Mudryk, Nkunku na Madueke wakiwa kwenye full action kule mbele
Nasikia kuna uwezekano wa Lukaku kuombwa akubali kuichezea Chelsea badala ya kuingia sokoni kununua striker. Kuna pia debate inataka kuamshwa kwamba Pochettino anaweza kumshawishi Kane ajiunge na Chelsea
Kwa hali ilivyo sasa kazi kubwa ya msimu ujao ni kuuza zaidi ya kununua
Line up ya 343
----------------Lukaku ---------------
Mudryk ------------------------Nkunku
Chilwell ----Enzo -----Kante ----- James
Colwill -----------Silva ---------- Fofana
------------ New GK ------------------
Line up ya 4-2-3-1
----------------Lukaku ---------------
Mudryk ---------Nkunku---------Mount
--------Enzo ------------Kante --------
Chilwell----Colwill ----Silva ------- James
------------ New GK ------------------