Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kama vile nafurahia majanga kwa Bayern Munich ili Tuchel afukuzwe, najua boya Toddy hatofanya makosa kumuacha 😂
Nimelewa wakuu nisameheni
 
Ebwana Bayern kasulubiwa huko mpaka aibu , lile li Guardiola linajua ball aisee msilete utani kabisa , yaani nimekaa naangalia ule mpira mpaka raha ,yaani bayern kakaangwa kisawa sawa
Chelsea inabidi ipate coach wa kufundisha mpira wa kushambulia faster na kupress kama vile ,bayern second half wamedhalilishwa sana
 
Mechi ya kesho hatutakuwa na hawa wachezaji
  1. Mason Mount - Groin/Hip/Pelvic Injury
  2. Thiago Silva - Knee Injury
  3. Azpilicueta - Head/Face Injury
Wengine wote wako wazima
Taarifa zinasema Thiago Silva yuko fit kwa mechi ya kesho
Twende na hii line up ya 4-3-3

Felix------------------ Havertz -------------------- Ziyech

Kovacic -----------------Enzo --------------------- Kante

Chilwell ----------Silva ------------- Fofana ---------James

--------------------- Mendy ---------------------------

Sub
  1. Kepa
  2. Koulibaly
  3. Cucurela
  4. Galagher
  5. Zakaria
  6. Cheek
  7. Mudryk
  8. Pulisic
  9. Sterling
 
Sisi kesho na huyu bumpkin Lampard sijui itakuwaje ,ila ninahisi kuhama kwa Chelsea ,kipigo cha mbwa koko , wale watoto akina vinicius ,ustaz benzema watatuua
1st eleven panga pangua Galagher, Cheek, chalobar, sterling ndani.
 
Taarifa zinasema Thiago Silva yuko fit kwa mechi ya kesho
Twende na hii line up ya 4-3-3

Felix------------------ Havertz -------------------- Ziyech

Kovacic -----------------Enzo --------------------- Kante

Chilwell ----------Silva ------------- Fofana ---------James

--------------------- Mendy ---------------------------

Sub
  1. Kepa
  2. Koulibaly
  3. Cucurela
  4. Galagher
  5. Zakaria
  6. Cheek
  7. Mudryk
  8. Pulisic
  9. Sterling
Thiago silva na Mount wote wapo fit na wamesafili na timu
 
1st eleven panga pangua Galagher, Cheek, chalobar, sterling ndani.
huyo cheki ndipo matatizo yanapoaniaga, hana ubunifu ni shida - Huyo steling wa movie na yeye bado hajapata click tangu ajiunge chelsea bado anahangaikia maisha yake, Choba atusubiri nje, Galagher bado ana struggle ku click kwenye timu.
Line aliyotoa huyou bwana wa juu ni zuri ila hawa majeruhi wawili Mendy na Silva kuwaingiza straight kwenye first lineup aiseee ni risk, watu wamekaa nje zaidi ya mwezi - how are you going to prove their fitness ? hii ni mechi ya mtoano kaka.
 
Kutoka leo ni ngumu tutegemee labda maajabu ya mpira
hapo kama umesema ukweli kabisa, ila naomba leo kwa sababu tupo away basi tusipigwe nyingi, walau 2-1 ama 3-1 si mbaya kutakuwa na uwezekano wa kubinua meza pale darajani next week.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom