Atakayepamudu katikati ndo anashinda hii mechi. Akina Modric, Croos na Velvede hawapaswi kupewa uhuru. Modric akiruhusiwa kupiga zile quality passes tumeisha Chelsea.Dah naona kikosi tumejaza watu katikati, Tunaenda kujilinda bernabeu?
Mbele hakujabalance aiseee, hilo hamlioni.Atakayepamudu katikati ndo anashinda hii mechi. Akina Modric, Croos na Velvede hawapaswi kupewa uhuru. Modric akiruhusiwa kupiga zile quality passes tumeisha Chelsea.
#KTBFFH
Mbele mbona pako sawa tuu...hapo bado reece james na chilwell hawajaongezekaMbele hakujabalance aiseee, hilo hamlioni.
Kwa mfumo wa mabeki watatu goal contribution inatoka kwa wing backs (Chilwel na Reece)Mbele hakujabalance aiseee, hilo hamlioni.



Kuwa wa blue inahitaji sana moyo jamani..!!😔🙌Pole sana Mamaangu kipenzi Carleen kwa maumivu.
Baada ya kichapo toka kwa Real Madrid tukutane pale Love Garden tupate 2, 3 kujipooza maumivu, nasema uwongo Ndugu yangu?