Kwani huyu si ndiye aliyetimuliwa kule everton????Ujio wa Frank Lampard utakuwa na adhari gani kwenye uchezaji
- Timu itakuwa inashambulia sana na kufunga sana
- Mpira mzuri utacheza wa haraka na kasi na direct
- Tutegemee pia kufungwa magoli yua kijinga jinga na pia kupoteza points za kijinga jinga
Wewe huwa huna point, kila dakika ushabiki uchwara tuKule ametimuliwa kwa ajili alikaribia kuishusha daraja everton huku atatimuliwa kwa kosa hilohilo..
Nimekaa paleeeee
Kupenda team na kufundisha team ni vitu viwili tofautiNi nani anaamini kama mimi kuwa John Terry anaweza kuwa Kocha mzuri akiaminiwa Chelsea pale?.
Natamani siku moja John Terry awe kocha wa Chelsea. He likes chelsea football club.
Ukocha ni taaluma ambayo partly iwe naturally ndani yako na partly usomeeNi nani anaamini kama mimi kuwa John Terry anaweza kuwa Kocha mzuri akiaminiwa Chelsea pale?.
Natamani siku moja John Terry awe kocha wa Chelsea. He likes chelsea football club.
Mbona hii habari ya muda mrefu kwanini umeileta leo?Kama kweli anakuja basi tumpokee
Luis Enrique: Ex-Spain and Barcelona boss in London to hold Chelsea talks
Former Barcelona and Spain boss Luis Enrique in London to hold Chelsea talks; the Spaniard won the treble at Barcelona in 2014/15; Chelsea set to assess up to seven candidates, including Julian Nagelsmann, Frank Lampard an option if club appoint a caretaker manager
Hivi nan ataanza golini Leo !? Mendy au Kepa , Maana Kepa alitoa comment ambayo haikua nzuri baada ya Lampard kufukuzwa.



"We came from a not so elaborate game [with Lampard], we didn't have to take the ball from behind, a less planned game, more to the free expression of the player, back and forth and less control.😊😊😂Lete comement yake tuone lasivyo wewe ni mbeya anaetumia habari za udaku![]()
Usimtukane Mamba kabla hujavuka mto..... Lampard akiwa parmanent coach, Kepa atasepa hata bila kuuzwaHivi nan ataanza golini Leo !? Mendy au Kepa , Maana Kepa alitoa comment ambayo haikua nzuri baada ya Lampard kufukuzwa.
"We came from a not so elaborate game [with Lampard], we didn't have to take the ball from behind, a less planned game, more to the free expression of the player, back and forth and less control.
![]()
Kepa braced for 'hard' time under Lampard after blasting returning Chelsea boss
Kepa had taken aim at Frank Lampard's methods following his first spell at Stamford Bridge, but that criticism could now come back to bite him with the Englishman back in charge of the Blueswww.mirror.co.uk