Hahaahahha emu tuacheChelisii bila potter ni sawa na uhai bila pumzi
Daaah angetuua huyu falaThanks God ,mbwa huyu kaachia ngazi
Process my ass hahahaHatimae mmechoka ku-trust the process, mmeona mumtimue Potter.
Hataajiriwa kocha hadi msimu uishe Bruno Saltor atabeba majukumu hadi msimu uisheMaamuzi mazuri kumtimua potato ila yamefanywa wakati mbaya (bad timing) ukizingatia tuna game ya UEFA kesho kutwa na hatujui huyo atakaekuja atakuwa na falasafa gani
Anyway acha tuwe wapole
Wamrudishe Conte achana na huyu alishaonyesha Bayern kuwa hawezi mbio ndefu
Ana attacking footbal kali sanaHuyu Julian yuko vipi kwa mnao mfahamu kwa undani maana yeye ndio anapigiwa chapuo zaidi.
Kipi alichokifanya Brighton??? Mpaka tuseme alikuwa vizuri, zaidi ya kucheza vizuri tu.Ngoja nikuulize, hivi huyu huyu Potter tunayemponda, mbona alikuwa nafanya vizuri na Brighton? wengine wakasema alikuwa natembelea mwamvuli wa wachezaji bora. Sasa kama wachezaji wetu ni bora kwa nini Potter asiendelee kutembelea mwamvuli wa wachezaji bora?
Lampard na ubovu wake alitembelea mwamvuli wa wachezaji bora Chelsea ikamaliza top 4
Kwa nini Potter yeye asitembelee huo mwamvuli wa wachezaji bora wa Chelsea timu ikafanya vizuri zaidi ya hapa ilipo?
Wamrudishe Conte achana na huyu alishaonyesha Bayern kuwa hawezi mbio ndefu
Kwa maoni yangu Conte pekee ndie atakayeturudisha kwenye mstari, Spurs alishindwa kwa sababu ya ufinyu wa mshiko
Ana attacking footbal kali sana
Tatizo la tajiri miluzi kiburi kingi ukizingatia kwa sasa damage ishakuwa kubwa hv ndo wanafanya maamuziHataajiriwa kocha hadi msimu uishe Bruno Saltor atabeba majukumu ahdi msimu uishe
Kazi imeisha, huyo kashawaumiza wengi na hatujui waliolazwa mahospitalini ni wangapi na walikufa ni wangapi
Yeye hajali utadhani anaigiza filamu
Jibu baada ya kuelewa pointi yanguKipi alichokifanya Brighton??? Mpaka tuseme alikuwa vizuri, zaidi ya kucheza vizuri tu.
Angalia sasa Brighton wako semi final FA Cup kitu ambacho Potter alishindwa. DE ZERBI kawaimprove Brighton kuliko hata wakat wa Potter.
Hakuna maajabu potter aliyoyafanya Brighton zaidi ya kucheza vizuri tu ila matokeo anayoyapata sasa ndio yale yale alikuwa anayapata Brighton