Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tujikumbushe
Conte katupa EPL ndani ya msimu wake wa kwanza
TT katupa UCL ndani ya nusu msimu wake wa kwanza
FsLQfE8WYAAfq6y

 
Hapana, ila nilitegemea atarudi baada ya muda mfupi
Kwamba mnaona hana pa kwenda pengine?
Mumfukuze kwa mbwembwe zote halafu arudi tena kuwalilia!
Mikwa Potter
Hadi muombe poo

Nimefurahi TT kapata kazi..
Alikuwa anabeba litimu ambalo halina shukurani.
 
Tukipita kwa madrid Tuchel atatufanya kitu hatujawahi ona.

Na Bado

Kwanza kwa Madrid hampiti nyie wahuni
Kocha ni Potter,ana mpira gani wa kumshinda Madrid!?
Ila nyie watu bhana,,mmekaa mnasubiri potter awavushe kwa Madrid
 
The most charming coach
Hii video ndio inayomuonyesha Tuchel alivyo Charm na Charismatic kwenye media na akiwa uwanjani
Lembu ulikuwa miongoni mwa watu waliofurahia Tuchel kufukuzwa

Mliruka sana na kukanyagana kwa shangwe humu
 
Swala sio mahaba na Conte.

Wewe muangalie Conte uwezo wake alafu angalia mafanikio yake ni kocha wa kupambana kushinda mataji sio km kina Ole na Mikael Arteta.


Kwahiyo Conte lazima akae juu.


West Ham haina nguvu sn muda si mrefu itatoka hapo juu!
Kazi yetu huwa kurudi maktaba kuangalia kumbukumbu zinasemaje.
 
How did Chelsea’s €100m man get on against England?

0 shots on target
0 chances created
0 passes into Eng’s box
0 freekicks won
4 lost possessions
1/8 ground duels won
subbed after 61 mins

It’s fair to say Mykhailo Mudryk didn’t have a great game
 
Tujiandae kumtukana refa
Chelsea vs mtetea
20230327_194343.jpg
 

Attachments

  • 20230327_194343.jpg
    20230327_194343.jpg
    69.2 KB · Views: 11

Similar Discussions

Back
Top Bottom