HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 72,994
- 102,833
Chelsea hupigwaHivi yule mundryk ni wa million 100 kweli au waukraine walitaka mil 10 mkachanganya mkataba![]()
Chelsea hupigwaHivi yule mundryk ni wa million 100 kweli au waukraine walitaka mil 10 mkachanganya mkataba![]()
Akifanya poa baadae usije ukaikataa comment wapo wenzako walibeza usajili wa paund mil 107 wa Enzo angalia namna anavyokiwasha sasa hiviHivi yule mundryk ni wa million 100 kweli au waukraine walitaka mil 10 mkachanganya mkataba![]()
Acheni kutafuta kichaka cha kujifichaSiwapingi of course mpo vizuri hilo halina doubt lakini point yangu ya msingi Arsenal ilipata nguvu ya kuona msimu Huu wanaweza kuwania ubingwa imechangiwa na chelsea, Liverpool na Man u kutokuwa na kiwango kizuri so team shindani imebaki kuwa Man City pekee ni kama ule msimu wa leceister city walichukua ubingwa

Mwingine wa milioni 100 huyu hapaAkifanya poa baadae usije ukaikataa comment wapo wenzako walibeza usajili wa paund mil 107 wa Enzo angalia namna anavyokiwasha sasa hivi
Usajili wa wachezaji wengi umechangiwa pia na kuwa na injuries nyingi za wachezaji kumbuka hiloWatu mmetumia £500M kusajili kisha mnasema timu yenu mbovu
Arteta miaka yake yote hiyo hajafikia matumizi makubwa kiasi iko
Binafsi nasimama na Potter aongezewe mkatabaView attachment 2550181
Na bado mmesajili Nkuku mchezaji kila baada ya mechi mbili yupo wodiniUsajili wa wachezaji wengi umechangiwa pia na kuwa na injuries nyingi za wachezaji kumbuka hilo
Chelsea kuna mafundi wengi kuna Mudryk, Madueke, kai havertz, jao felix, sterling, Mount na striker mwingine atasajiliwa so kutokana na hilo itamfanya nkuku asiwe anacheza kila game hapo itasaidia kutopata injury za Mara kwa maraNa bado mmesajili Nkuku mchezaji kila baada ya mechi mbili yupo wodini

Mwanangu usema Ukweli kabisa wewe siyo mtu wa Football kabisa. Ila ni mshabiki unayoipenda Chelsea. Yaan umetokea tu kuipenda Bila sababu yeyote; Ila nafurahia tu sababu Unaipenda Timu ambayo na mimi huwa nina Mapenzi nayo.Ivi dili la rafinya lilishiaga wapi kwanini tulishindwa kumchukuwa?



🤣🤣🤣🤣🤣Mwanangu usema Ukweli kabisa wewe siyo mtu wa Football kabisa. Ila ni mshabiki unayoipenda Chelsea. Yaan umetokea tu kuipenda Bila sababu yeyote; Ila nafurahia tu sababu Unaipenda Timu ambayo na mimi huwa nina Mapenzi nayo.
OllaChuga Oc Bila shaka ni Home boy piaa![]()
Huyu jamaa hujakosea kabisa, sio mpenzi wa football yaan anaulizia habari za raphina?Mwanangu usema Ukweli kabisa wewe siyo mtu wa Football kabisa. Ila ni mshabiki unayoipenda Chelsea. Yaan umetokea tu kuipenda Bila sababu yeyote; Ila nafurahia tu sababu Unaipenda Timu ambayo na mimi huwa nina Mapenzi nayo.
OllaChuga Oc Bila shaka ni Home boy piaa![]()
Huyo mchezaji wa YouTube hamna kitu humo beki zote England zinajua mbinu yakeMwingine wa milioni 100 huyu hapa View attachment 2550182




POTTER akishinda mechi ijayo na Everton anaweza kuchaguliwa kuwa kocha bora wa mwenzi MarchView attachment 2551127




Na kocha wa MACHOKO waliokojolewa SABA atakuwa Kocha Bora wa nini??