Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tuna imani na potter mikumi kabisa
Potter ana mbinu nzuri kweli
Tunampenda potter
 
Chelsea yatangaza kupata hasara ya kiasi cha paundi mil 121 msimu uliopita
Kutokana na hasara hii, msimu ujao wa kiangazi ni lazima kuwauza wachezaji hasa homegrown ili kufidia pengo
Chilwell, Mount wanaweza kuwa kwenye hatihati ya kuuzwa among others
 
Chelsea yatangaza kupata hasara ya kiasi cha paundi mil 121 msimu uliopita
Kutokana na hasara hii, msimu ujao wa kiangazi ni lazima kuwauza wachezaji hasa homegrown ili kufidia pengo
Chilwell, Mount wanaweza kuwa kwenye hatihati ya kuuzwa among others
Chilwel hauzwi labda mount
 
Chelsea yatangaza kupata hasara ya kiasi cha paundi mil 121 msimu uliopita
Kutokana na hasara hii, msimu ujao wa kiangazi ni lazima kuwauza wachezaji hasa homegrown ili kufidia pengo
Chilwell, Mount wanaweza kuwa kwenye hatihati ya kuuzwa among others
We ,umuuze Chillwell mashine kama ile halafu umuache azpilicueta , Pullisic ,ziyech ,Odoi ,Lukaku ?
 
Hiki kikundi cha wanyang'anyi bado kipo????
Hawa chelsea hawana tofauti na panya road tu,hamna kitu kwenye soka

Hopeless
 
Siku zetu za kuishi kwa furaha zinafikia ukingoni
20230328_185415.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom