Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tumemtoa bingwa mara 8 wa UCL huyu Lyon ndie Real Madrid wa michuano hii ya kike ulaya
Screenshot_20230331-172553_Chrome.jpg
 
Bila majungu kiukweli we Jamaa na AllyPipi huwa mnanifurahisha sana na hizi mbwembwe zenu

Ila we Bachelor II utakuwa unaipenda Chelsea FC kimya kimya.
Mm nazipenda timu za
FC bandari ya tanga
Wizard fc ya kigoma

Wazee fc ya ujiji (hii timu mchezaji mwenye umri mdogo kabisa ni kipa ana miaka 56)

Makaburini fc ya kigoma (captain wao Rama kwidu alipigwa tofari la kichwa likadunda likamrudia aliyelirusha likampiga akazimia)

Kayengeyenge fc ya ujiji (hawa huwa wanacheza na misukule)

Potter ni gadiuola kwa ndani
Potter mikumi kabisa
 
Tuchel kuhusu kufukuzwa Chelsea

Ilikuwa ni mshituko, kikao kilikaa dakika 3 hadi 5 saa mbili za asubuhi.
Wote tulidhani tuko njia moja na tunao muda wa kutosha kujenga timu
Tulikuwa na mahusiano mazuri na watu hapo. Bado nina marafiki wengi Chelsea

Bado inauma, Chelsea ilikuwa kama familia kwangu
FsjYynNXgAEasSI
 
Yaani msimu huu Liver kuku na Chelsea tunagombea kucheza Conference League
 
Makocha wazee katika historia ya soka la Uingereza
  1. Roy Hodgson (75y)
  2. Bobby Robson (71y)
  3. Alex Ferguson (71y)
  4. Neil Warnock (70y)
  5. Claudio Ranieri (70y)
 
LIne up 3-4-2-1

----------------- Havertz --------------------

Mudryk --------------------------------- Felix

Chilwell ------- Enzo ------- Kovacic ----- Cheek

Cucurella ------------ Koulibally --------- James

-------------------- Kepa ----------------------


Fso4ZAUWcAEm-3O
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom