Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Tumeshachukua epl mara mbili mfululizo,nyie mnaweza au mshafanya hivo ... ....Sasa nyie mnauzoefu gani Kwanza tutapiga marufuku mtu ambaye Hana uefa kuja huku Kwa sababu bado ni watoto wadogo.
Tuna league cup 7 nyie vinabo mnazo ngapi...
Were the champion ...



