Huyu dogo anasura ya forward sana...Kai Havert nae sura yake ndo inambeba pale mbele make uoni akicheka kama wale wajinga ambao wakikosa goli badala ya kujuta wao wanakenua meno. Ningekuwa kocha ningekua nawapiga konzi sana tu.Bado tunasajili
- Full name: Dujuan Richards
- Date of birth/Age: Nov 10, 2005 (17)
- Citizenship:
Jamaica![]()
- Height: 1,89 m
- Position: Centre-Forward
- Current club: Phoenix All Stars
- Current international:
Jamaica![]()
![]()
![]()
Tusubiri tuonePoints ngapi hapo
![]()
Akisajiliwa Jao felix nafasi ya Mount itakuwa ngumu kupita maelezo kwasababu ataongezeka nkuku na report mbalimbali zinasema chelsea wanampango wa kusign striker kwa maana hiyo chelsea pale mbele itakuwa na nkuku,jao felix, havertz, Mudryk, sterling, Madueke na striker tutayemsajili na kwa mfumo wa 3-4-3 mbele wanahitajika wachezaji watatu tu je nafasi ya Mount itakuwa wapi hapo?
Hivi ishu ya Nkuku imekaaje na Chelsea? Mie sielewi elewi.Alisajiliwa Jao felix nafasi ya Mount itakuwa ngumu kupita maelezo kwasababu ataongezeka nkuku na report mbalimbali zinasema chelsea wanampango wa kusign striker kwa maana hiyo chelsea pale mbele itakuwa na nkuku,jao felix, havertz, Mudryk, sterling, Madueke na striker tutayemsajili na kwa mfumo wa 3-4-3 mbele wanahitajika wachezaji watatu tu je nafasi ya Mount itakuwa wapi hapo?
Ndio maana mkataba umepooza sana, huyo summer atauzwa na wengine wa mbeleAlisajiliwa Jao felix nafasi ya Mount itakuwa ngumu kupita maelezo kwasababu ataongezeka nkuku na report mbalimbali zinasema chelsea wanampango wa kusign striker kwa maana hiyo chelsea pale mbele itakuwa na nkuku,jao felix, havertz, Mudryk, sterling, Madueke na striker tutayemsajili na kwa mfumo wa 3-4-3 mbele wanahitajika wachezaji watatu tu je nafasi ya Mount itakuwa wapi hapo?
Datro walimchukuaga wa nini?Alisajiliwa Jao felix nafasi ya Mount itakuwa ngumu kupita maelezo kwasababu ataongezeka nkuku na report mbalimbali zinasema chelsea wanampango wa kusign striker kwa maana hiyo chelsea pale mbele itakuwa na nkuku,jao felix, havertz, Mudryk, sterling, Madueke na striker tutayemsajili na kwa mfumo wa 3-4-3 mbele wanahitajika wachezaji watatu tu je nafasi ya Mount itakuwa wapi hapo?
Ni mchezaji wa Chelsea ambaye yupo kwa mkopo RB leizipingHivi ishu ya Nkuku imekaaje na Chelsea? Mie sielewi elewi.
Nadhani hapo kikwazo ni kocha tu mbona usajili wa Enzo, jao felix, Bachishile sio wa Potter lakini anawatumia wachezaji hawa kwenye kikosi chakeDatro walimchukuaga wa nini?
Nadhani hapo kikwazo ni kocha tu mbona usajili wa Enzo, jao felix, Bachishile sio wa Potter lakini anawatumia wachezaji hawa kwenye kikosi chakeDatro walimchukuaga wa nini?
Imekaa hivyo hivyo anakuja darajani July 2023Hivi ishu ya Nkuku imekaaje na Chelsea? Mie sielewi elewi.
Kuna muda anakuwa mzembe kukabaNaona Cheek akicheza winga anakuwa mzuri sana kuliko akicheza katikati
Watupe €60m afu ian masten arudishwe