Kinumbo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 3,188
- 5,810
Katika wachezaji siwaelewi kwenye kikosi wa kwanza kabisa ni Havertz, yule dogo ana kera sana yaani. Ule uchezaji wake kwa kweli huwa unakera sana. Kwenye suala la kocha ndio bure kabisa yaani yule mzee ni kiande sana, jitu ata sub jalijui.
Kuna watu wanajisahaulisha na haya matakataka. Timu inajiendesha yenyewe hii hakuna kocha hapa, kai anapoteza mipira kizembe kocha anatoa macho tu hana ubavu wa kuwakalipia wachezaji. Maajabu huwa ni kwenye sub za kocha sasa huwa ni full gamble


pale pasi ya goli inavokua nzuri kuliko goli