Niwakumbushe kwamba kwa sasa tunao wamiliki wa timu watano (5).
Kwa sasa maamuzi yoyote ya kumfukuza Potter lazima matajiri hao 5 wakae, wakubaliane kwa pamoja na kuja na kauli 1, tofauti na wakati wa Roman Abramovich.
Kwenye makubaliano ya kununua timu, ilisemekana TODDY BOEHLY ndio atakuwa mwendeshaji mkuu wa timu.
Ili hali Clearlake capital Fund wana hisa 60%, na wapo karibu sana kumonitor mwenendo wa timu chini ya EGHBALI.
Kwamba labda inawezekana mpaka sasa hawa Matajiri bado hawajakubaliana kwa kauli moja kumfukuza Potter.
View attachment 2532674