Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kinachowachanganya ni kwamba mbona mna wachezaji wazuri ila hampati matokeo.

Sasa kuna chances Cheltako walitengeneza lakini the reason hawakuziconvert ni kwavile hawana ST.
Wakat wa tuchel tulikuwa hatuna strike ila matokeo yalikuwa yanaonekana.

Huwez sema 17 umeshinda 2 useme shida ni striker.

Je Area ipi tumeimprove tangu Potter aje??
 
Wakat wa tuchel tulikuwa hatuna strike ila matokeo yalikuwa yanaonekana.

Huwez sema 17 umeshinda 2 useme shida ni striker.

Je Area ipi tumeimprove tangu Potter aje??
Tuchel msimu ulivyoanza na yeye alikua anastruggle.

Mashabiki wengi hamkumbuki hilo, mnakumbuka trophies alizozileta kwa kipindi kifupi. Nakumbuka Tuchel alistruggle mpaka Terry akasema anatamani apate kazi Chelsea na timu yake itakua na back four ikiwa ni dongo kwa Tuchel

Na ni kipindi hicho akasema matatizo ya chelsea ni yale yale kwakua ana watu walewale. Boehly akaingia mfukoni kilichofuata ni Tuchel kusaini mabeki wengi miongoni mwao ni Koulibaly.

Ndiyo maana mimi naamini hata Tuchel angekuepo Chelsea pengine isingekua hapa ila isingekua ile iliyosumbua UEFA na Ligi
 
Trust the process

IMG_20230226_184522.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom