Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,385
Kunanini huko, na Sikia kelele nje?
Watajitumaje wakat kocha mwenyewe amekaa tu, anakwambia yeye sio shidaSijaangalia mechi za Chelsea kama Tano nyuma zaidi ya kuangalia highlights tu .ila Leo nimejionea kwa nn timu haipati ushindi
Vijana wahajitumi kabisa hapa Bora mason aingie
Mashabiki wa Arsenyeto viazi sanaTulia wewe bibi wa kihindi. Mnakomaa kukomaza matako kukomaza miguu hamuwezi
Siku sio nyingi barua itawekwa hadharaniBoss anatafuta nn mifukoni mwake.? Usikute ameweka barua ya kumfukuza kazi Pota akifungwa leo 😁
Aingia Mudryk au unaonaje?Mashabiki wa Arsenyeto viazi sana
The name is Bond. James BondKuna ile mchezaji hajatoa assist au kufunga kwa games 7 hua wanamuita 007.
Online Richarlson wanamuita 0024 na bado anapata namba
Potter mitano tenaWe Arsepimbi siku Chelsea tukishinda uje pia utuletee mrejesho wako wa kuhangaika na timu isiyokuhusu.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app