Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

3DC10431-495E-4FF8-A59D-B6AC10127899.jpeg

Picture perfect 😉
 
Hii Chelsea ni mbovu sana kwa Ulaya, haina tofauti na Tp Mazembe kwa Afrika ambayo imepokea kipigo cha mabao mawili kwa bila dhidi ya US Monastir
 
Hii Chelsea ni mbovu sana kwa Ulaya, haina tofauti na Tp Mazembe kwa Afrika ambayo imepokea kipigo cha mabao mawili kwa bila dhidi ya US Monastir
Kama timu unaipenda hata ukijifanya huangalii mechi matokeo utayatafuta tu.

Mfano wewe umeshindwa kuvumilia mpaka umeamua kuja kwenye jukwaa lenu na mimi nakuambia Spurs anaongoza mbili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom