Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Uyu jamaa ni mtu sijui kwanini alikua anaonekana Kenge hapo darajani
20230216_181910.jpg
 
Na Mimi nashangaa kwanini ile tabia yake ya back passes kaiacha, sasa hivi linaubobda mpira kwenda mbele ,hadi mashoot anapiga
Kwani Jorginho alikuwa afanyi vizuri chelsea ukumbuki mapass yake kwenda kwa Abraham shida ya watu wengi walikuwa wanamlalamikia Jorginho kukosa ile consistency performance na pia anakuwa ovyo sana akikutana na team zinazopress juu
 
Uyu jamaa ni mtu sijui kwanini alikua anaonekana Kenge hapo darajani View attachment 2530354
Sioni maanabu ya Jorginho kwanza lazima ujue kwanini mashabiki wengi wa chelsea hawamkubali Jorginho. Jorginho sio kwamba alikuwa vafanyi vizuri chelsea sema ni mchezaji ambaye anaweza kukupa best performance mechi 3 mechi 3 zijazo ukamkataa, la pili sio mkabaji mzuri wakati kwa situation yetu tulihitaji kuwa mchezaji ambaye ni mzuri kiukabaji na Ndio maana tukamchukua Enzo na tukawa tunamwitaji Caicedo, Tatu Jorginho ni mzito pia anakuwa ovyo akicheza dhidi ya team inayompress hapa ndio utaona zile back pass zake sio mzuri kwenye kushinda press labda spare usaidizi mkubwa wa mchezaji atakayecheza nae
 
Leo tupo upande wa Potter. Tunataka mshinde ili mpunguze kelele za "Potter Out"

Potter shikilia hapo hapo. Usiachie!😂
 
Sioni maanabu ya Jorginho kwanza lazima ujue kwanini mashabiki wengi wa chelsea hawamkubali Jorginho. Jorginho sio kwamba alikuwa vafanyi vizuri chelsea sema ni mchezaji ambaye anaweza kukupa best performance mechi 3 mechi 3 zijazo ukamkataa, la pili sio mkabaji mzuri wakati kwa situation yetu tulihitaji kuwa mchezaji ambaye ni mzuri kiukabaji na Ndio maana tukamchukua Enzo na tukawa tunamwitaji Caicedo, Tatu Jorginho ni mzito pia anakuwa ovyo akicheza dhidi ya team inayompress hapa ndio utaona zile back pass zake sio mzuri kwenye kushinda press labda spare usaidizi mkubwa wa mchezaji atakayecheza nae
Waache waongee, siku wakichomekewa na Jorgninho ndio watamuelewa sawa sawa
Kuna huyu Pundit anaitwa Ian Wright ni mshabiki mkereketwa wa Arneal juzi Supper sport amemchambua vizuri Jorginho akimfananisha na Partey

Partey ana uwezo wa ku cover nafasi za midfield zisiwe wazi kwa opponent kuzitumia kwa kaunter ila Jorgninho ana tabia ya kucha a big void katikati na alionyesha practically kwenye ile game na Aston Villa. Pamoja na kucheza vizuri alikuwa akiacha nafasi kubwa katikati ni kwamna Aston Villa hawakuweza tu kuzitumia

Hii ya juzi alishaanza kuonyesha pia zile tabia zake za kuruhusu dispossesion katikati ya uwanja na kusababisha counter
Ni swala la muda tu
 
Ni muhimu sana kwa meneja kutawaliwa fikra zake na kushinda na sio chini ya hapo - huyo ni Erik Ten Hag
Anahitaji mambo mengi kutoka kwetu, anataka tuwe wakamilifu
-Casemiro akimuelezea Erik Ten Hag


1677399637643.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom