juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Halaf anafungwa na leeds na kupoteza game 5 zinazofataMara Paaaaap Potter anapata ushindi kwa Spurs na Dortmund.


Halaf anafungwa na leeds na kupoteza game 5 zinazofataMara Paaaaap Potter anapata ushindi kwa Spurs na Dortmund.


Duuhh kwaio walishuka daraja?Sir Alex Ferguson time anaanza kazi MANCHESTER United alifungwa mechi 38 mfululizo misimu wake wa kwanza kabisa
Kocha yoyote elite hawezi pelekeshwa, na ndio maana hata huyu Emrique mashabiki tunaemtaka hawezi kuja ni makocha wwnye misimamo yao hawaWanamkubali Potter kwa sababu ni kama puppet wao, akiambia lolote anasema ndio bosi, kaa chini ndio bosi, lala kifudifudi, ndio bosi, leo weka 343 ndio bosi, ile mechi na Dortmund weka 6-3-2 ndio bosi. Potter hawezi kupinga kama TT na ndio maana TT alifukuzwa
Badala ya kuimprove ndio itakuwa mbaya zaidi kuliko leo na itakuwa too late.
KweliKocha yoyote elite hawezi pelekeshwa, na ndio maana hata huyu Emrique mashabiki tunaemtaka hawezi kuja ni makocha wwnye misimamo yao hawa
Tuchel alisema I am here to win titlesalisema "am here to help the team"![]()
![]()
![]()
The lads gave everything.Tofautisha mentality ya Potter na Ten Hag hapo kwenye wanachokiona na kukiamini
View attachment 2524198
hiii ni kambaaaaSir Alex Ferguson time anaanza kazi MANCHESTER United alifungwa mechi 38 mfululizo misimu wake wa kwanza kabisa
Wewe kama nani kitaaluma na una uzoefu gani, kiasi kwamba unahisi huo ushauri wako unaweza kuinyanyua Chelsea?Sasa kama hayo ni maoni yangu na hao wanaofanya utambuzi huko si ni maoni yao pia?
Nilichosema ndiyo hicho kama mnaweza kubadilisha badilisheni.
Pia jana baada ya mechi kasema tatizo la Chelsea hahusiki yeye
