Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Swali la kujiuliza kwanini matajiri walimwajiri Potter kuwa kocha wa THE BLUES?

Majibu ya swali hilo ndio maana hafukuzwi na wala hatafukuzwa hivi karibuni.

Ingekuwa aliajiriwa world class coach maana yake ingekuwa ni kutupa makombe. Na kwa matokeo mabaya kama ya sasa angetimuliwa mara 1

Potter yuko kwenye mission maalumu na matajiri wa timu.
Huyu kocha ataondoka ni swala la mda tu maana hao matajiri wenyewe wamewekeza ili kupata faida na sio hasara
Maana timu inashindwa kufanya vizuri mapato pia yanashuka huku unalipa mishahara mikubwa wachezaji

Pia mashabiki huenda wakaandamana na kugoma kununua ticket za timu hapo lazima tajiri akili imkae sawa

Kumbuka timu kutoshiriki Uefa mwakani ni pigo kubwa sana kwenye vyanzo vya mapato na baadhi ya wadhamini kujiondoa mechi ya Spurs na Dortmund ndio itaamua hatma yake
 
Potter hii team ishamshinda, ukimuuliza ipi ni winning team yake hawezi jibu. Na ndio maana hakuna improvement yoyote maana kila wiki mabadiliko..


Ni mmoja kati ya mistake mbovu tulizowahi fanya ni kumuappoint huyu, ni kama tumedowngrade na tumeshusha standard zetu
Kama kocha anaulizwa na waandishi wa habari kuhusu tatizo timu inapitia na yeye anakana na kusema yeye hausiki kwenye hilo tatizo huyo ni kocha kweli

Graham Potter insisted he is not at fault for Chelsea's woes as the struggling Blues
FpUk0abXwAMz1_h
 
Even Arteta katika miez 6 yake ya mwanzo aliwin FA Cup then Community Shield. Unaona kabisa kuwa huyu ni kocha akipewa mda atawin.

Sasa Potter ndani ya miez 6 hatuko katika michuano yoyoye alichohakikisha na tunaenda kutolewa na Dortmund. Then atasema the lads gave everything.

Premier league Tuchel alituacha tuko wa 4, katika mech 6 za mwanzo kama sijakosea ila Potter kashatutoa hapo tuko 10
Tuchel aliichukua Chelsea iko no 9 akaipeleka no. 4 mdani ya miezi mitano
 
Katika kitu ambacho sidhani kama kitatokea kwa haraka ni KUFUKUZWA KWA POTTER.

Hawa Matajiri wako radhi kuboresha benchi la ufundi kwa kumuongezea Potter makocha wasaidizi ambao ni wataalamu zaidi.

Kwasababu hawa matajiri watataka kujitofautisha na Roman kwenye timua timua ya makocha.

Potter bado tupo naye sana.

Kama shabiki chagua moja kuendelea kuishabikia timu kwa maumivu au kupumzika kutoishabikia kwa sasa.
𝐉𝐔𝐒𝐓-𝐈𝐍: Chelsea fan's reactions Chelsea fans are frustrated with both the head coach and Todd Boehly's decision on defending Graham Potter despite of poor results all through. They're are currently planning a protest starting on Wednesday. Sack potter #ChelseaFC

FpZuaB4XgAMyGjb
 
Inaonekana matajiri wa club wapo comfortable na matokeo ya timu.

Hawajali tusipomaliza top 4 wao wanachojali ni Potter aendelee kujenga timu mpaka iwe tishio ndani ya miaka 5

Na dirisha kubwa watamsajilia wachezaji wengine.

Kwani miaka 5 ya mkataba wa Potter imeshaisha?
Wanamkubali Potter kwa sababu ni kama puppet wao, akiambia lolote anasema ndio bosi, kaa chini ndio bosi, lala kifudifudi, ndio bosi, leo weka 343 ndio bosi, ile mechi na Dortmund weka 6-3-2 ndio bosi. Potter hawezi kupinga kama TT na ndio maana TT alifukuzwa
 
Swali la kujiuliza kwanini matajiri walimwajiri Potter kuwa kocha wa THE BLUES?

Majibu ya swali hilo ndio maana hafukuzwi na wala hatafukuzwa hivi karibuni.

Ingekuwa aliajiriwa world class coach maana yake ingekuwa ni kutupa makombe. Na kwa matokeo mabaya kama ya sasa angetimuliwa mara 1

Potter yuko kwenye mission maalumu na matajiri wa timu.
Wanamkubali Potter kwa sababu ni kama puppet wao, akiambia lolote anasema ndio bosi, kaa chini ndio bosi, lala kifudifudi, ndio bosi, leo weka 343 ndio bosi, ile mechi na Dortmund weka 6-3-2 ndio bosi. Potter hawezi kupinga kama TT na ndio maana TT alifukuzwa
 
Ndio maana hapo juu nikasema kama shabiki wa THE BLUES chagua moja

1. Kushabikia timu kwa maumivu ya matokeo mabovu

2. Kupumzika kushabikia timu kwa sasa.

Binafsi nimechagua kuupa muda nafasi.

Muda utaongea.
Hisia huwezi kuiamulia, wengi wetu tutaenda tu tukijua siku moja mambo yatabadilika
 
Potter anamentality ya team ndogo kwake kulose ni sawa, akifungwa game 5 ni sawa yani hajali.

Ukiskiliza press conference yani hana ile winning mentality.
Ten Hag press conference yake ya kwanza tu anakwambia klopp n pep era can come to an end.

Tuchel anakwambia am here to win titles.

Unaona kabisa determination ya mwalim hata wachezaj nao wanakuwa wako tayar kushindana.

Sasa potter sasa ukiskiliza press conferec zake hakuna spirit,mentality ya kushindana havipo.
alisema "am here to help the team"
 
lampard alikuwa na timu mbovu
Mabeki walikuwa wanapwaya sana
Timu ilikuwa kwenye ban ya kusajili
Academy ndio walikuwa tegemeo lake
Lakini alimaliza top 4

Potter ana Timu bora kabisa
Usajili wa Paundi mil 650
Wachezaji super stars wameletwa
Lakini mechi 15 tumeshinda 2 tu
Na pia tuko nafasi ya 10 kuelekea 11
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom