Hayo ni maoni yako, lethal utengenezwa. Siku miongoni mwa uliosema siyo lethal wakifanya vizuri unarudi tena na stories zingine.
Kuna watu wanafanya kazi ya utambuzi zaidi yako huko Chelsea, kila timu inayumba na baadae inakaa sawa.
Unahisi kuna kocha yoyote yule angekubali matokeo ya aina hii 2 wins katika 15 games. Na stil kwel press conference useme the lads gave everything.Hata Tuchel angebaki bado hii timu isingeperform
Mashabiki tunapenda kuishi kwa 'Ange' nyingi.
Tuchel amefukuzwa akiwa kagewa pesa za kusajili na akiwa kasajili mabeki wakina Koulibaly na wenzake, online zikatembea trolls za kikosi cha chelsea kimesheheni mabeki.
Am simply saying chelsea tayari ishaelekea shimoni, kwakua mashabiki wake huamini kusajili ni dawa tajiri miluzi hakuwaangusha, akasajili kila aliyesikia anasajiliwa ila shida inakuja ya kutansform mtu wa kwenye makaratasi azalishe kitu uwanjani
Niliwahi kusema Mudryk siyo lethal finisher 100%, sawa sawa na Mount, Kai, Felix, Madueke lethal finisher ni Auba ambaye kiwango chake ni hovyo. So ishu ya Chelsea ni striker ila hivi viazi vikaamini suluhu ni kuwaleta wakina Badishile
Y'all are just POS. Jitahidini kutumia akili.
Tubadilishe kuanzia jamiiforum au ? Umekua kichaaSasa kama hayo ni maoni yangu na hao wanaofanya utambuzi huko si ni maoni yao pia?
Nilichosema ndiyo hicho kama mnaweza kubadilisha badilisheni.
Najua mna uzoefu wa kimvumilia Arteta. Sisi no. 10 tu tunavimba kwa makelele. Arteta aliifikisha Arsenal hadi nafasi ya mkiani kabisa 2021/22 msimu wa kwanza.Sasa kama hayo ni maoni yangu na hao wanaofanya utambuzi huko si ni maoni yao pia?
Nilichosema ndiyo hicho kama mnaweza kubadilisha badilisheni.
Pia jana baada ya mechi kasema tatizo la Chelsea hahusiki yeyeUnahisi kuna kocha yoyote yule angekubali matokeo ya aina hii 2 wins katika 15 games. Na stil kwel press conference useme the lads gave everything.
Kipi ambacho Potter ameimprove chelsea tangu ametangazwa?


Acha kuchekesha MzeeMimi sio shabiki wa Yanga ila leo nimecheki Yanga vs TP mazembe, wamecheza vizuri sana.
Yanga wakicheza na Chelsea ya Potter watawafunga walahi

Sijasema Potter kaimprove lakini sidhani kama Tuchel angefanya aliyoyafanya kipindi amefikaUnahisi kuna kocha yoyote yule angekubali matokeo ya aina hii 2 wins katika 15 games. Na stil kwel press conference useme the lads gave everything.
Kipi ambacho Potter ameimprove chelsea tangu ametangazwa?
Well kinachomatter siyo stori inavyoanza bali inavyoisha. Kama mtageuza hii stori mkaimalizia top four mtakua mmefanya jambo kubwa mno.Najua mna uzoefu wa kimvumilia Arteta. Sisi no. 10 tu tunavimba kwa makelele. Arteta aliifikisha Arsenal hadi nafasi ya mkiani kabisa 2021/22 msimu wa kwanza.
Mungu tupe uvumilivu kama mashabiki na wamiliki wa Arsenal
Usiwe na hasira kiasi hichi.Tubadilishe kuanzia jamiiforum au ? Umekua kichaa
Potter anamentality ya team ndogo kwake kulose ni sawa, akifungwa game 5 ni sawa yani hajali.Pia jana baada ya mechi kasema tatizo la Chelsea hahusiki yeye
Na asingeboronga kama anavyoboronga Potter.Sijasema Potter kaimprove lakini sidhani kama Tuchel angefanya aliyoyafanya kipindi amefika
Even Arteta katika miez 6 yake ya mwanzo aliwin FA Cup then Community Shield. Unaona kabisa kuwa huyu ni kocha akipewa mda atawin.Well kinachomatter siyo stori inavyoanza bali inavyoisha. Kama mtageuza hii stori mkaimalizia top four mtakua mmefanya jambo kubwa mno.
Ila sisi Arteta hatukumpa mkataba wa miaka 5

Mkataba mfupi au mrefu na uvumilivu ni vitu viwili tofauti. Kocha hata akipewa 10 yrs contract kumtimua kama hafanyi vizuri kuko pale pale. Hujui kwenye huo mktaaba mrefu kuna vipengele vipi. Inaweza kuwa mkataba mrefu ni kumpa peace of mind to il;i afanye kazi yake kwa amani. Ila ianweza pia kuwa ina vipengele vya kupart ways ambazo hazimpi faidi kubwa yeye. Unaweza ukakuta mkataba wa miaka mitano lakini partways terms ikawa ni 40% ya value ya mkataba kwa muda uliobakiWell kinachomatter siyo stori inavyoanza bali inavyoisha. Kama mtageuza hii stori mkaimalizia top four mtakua mmefanya jambo kubwa mno.
Ila sisi Arteta hatukumpa mkataba wa miaka 5