Sweta LA Tanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 902
- 2,836
Nyie wapuuzi mnapelekewa moto hatari
Unaangalia mpira gan wewNyie Hii ni timu ya mpira kweli no shot one target hata moja Sasa uwanjani mnafanya nini.
Nyie wapuuzi mnapelekewa moto hatari
Unaangalia mpira gan wewNyie Hii ni timu ya mpira kweli no shot one target hata moja Sasa uwanjani mnafanya nini.
Cheek hafai kurudi 2nd half, Enzo ni kama anafanya kazi ya watu wawili.
Felix dah sahiz ingefaa awe anaitafuta hat trick .
HT.0-0
COYB










Kelele za nini bado Darajani kutakuwa na shughuli ndogo sanaUEFA ijayo no chelsea no liverpool, safi sana
Huyu jamaa yani timu inashindwa kuscore kabisaa ,timu haina moral ya ushindiMa Boss hawana mpango wa kumfukuza kocha kwa sababu yeye naye ni sehemu ya project ya miaka mitatu mpaka mitano.
Siwez mlaum potter leo, kama ni chance za kuscore tumepata ila tumeshindwa.Ma Boss hawana mpango wa kumfukuza kocha kwa sababu yeye naye ni sehemu ya project ya miaka mitatu mpaka mitano.
Kabisa , porter nadhani kaona pattern ya uchezaji inavyo takiwa kuwa ,afanyie kazi vijana kufunga magoli ,tunahitaji nyavu zitikisike ,Ft. 1-0
Game ya leo ni kama tulikuwa hatuna bahati, tumecreate chance za kuscore tumeshindwa.
2nd half, tulikuwa bora sana ni vile tu Tulikosa bahati.
Kwa performance hii naimani 2nd leg tunashinda.
Mimi nitamlaumu kwa sababu haya matatizo anayataka mwenyewe. Yule dogo Datro ni mchezaji mzuri sana lakini hampi nafasi dogo anakula benchi na wadororaji wanaanza kila siku. Kipindi cha Tuchel kina Mount wakizingua mara mbili mechi inayofata anakula bench, hiyo inamsaidia mchezaji kujituma sasa huyu Potter anawakumbatia tu.Siwez mlaum potter leo, kama ni chance za kuscore tumepata ila tumeshindwa.
Tumecreate chance nyingi zakufunga ila tumeshindwa.
Datro hayupo kwenye kikosi cha UEFA, hakuna striker mwingineMimi nitamlaumu kwa sababu haya matatizo anayataka mwenyewe. Yule dogo Datro ni mchezaji mzuri sana lakini hampi nafasi dogo anakula benchi na wadororaji wanaanza kila siku. Kipindi cha Tuchel kina Mount wakizingua mara mbili mechi inayofata anakula bench, hiyo inamsaidia mchezaji kujituma sasa huyu Potter anawakumbatia tu.
Huyu anatakiwa akae bench hata mechi mbili ya tatu atokee bench same kwa wachezaji wengine watajifunza. Yapo mambo mengi Potter anayokeraa