Denis na Kovacic hawapofit kuanza game ya kesho dah majanga yanaendelea ni Bora kocha amchezeshe James donna la Kati kuliko gallagher kuanza la sivyo tutaona vituko kama mechi iliyopita Enzo hakupewa kabisa support kutokana na Gallagher kutojua nafasi yake pamoja MountMy preferred line up vs West ham tomorrow
4-2-3-1
------------------Datro Fofana----------------------
Mudryk ----------------Felix----------------Madueke
----------- Enzo ----------------- Denis--------------
Chilwell ------- Badiashile-------- Silva -------- James
----------------------Kepa ------------------------
Na mimi naanza kuungana na wanaodai kuwa wachezaji wa kiingereza sio wa kuwaamini kwenye starting XIDenis na Kovacic hawapofit kuanza game ya kesho dah majanga yanaendelea ni Bora kocha amchezeshe James donna la Kati kuliko gallagher kuanza la sivyo tutaona vituko kama mechi iliyopita Enzo hakupewa kabisa support kutokana na Gallagher kutojua nafasi yake pamoja Mount
Hiyo nafasi si angejaribiwa Chunwuemeka au Chalobah kwani nasilkia pia ni DMDenis na Kovacic hawapofit kuanza game ya kesho dah majanga yanaendelea ni Bora kocha amchezeshe James donna la Kati kuliko gallagher kuanza la sivyo tutaona vituko kama mechi iliyopita Enzo hakupewa kabisa support kutokana na Gallagher kutojua nafasi yake pamoja Mount
Kwa chunwuemeka hapana namuona more offensive player labda hapo kwa chalobah naungana na weweHiyo nafasi si angejaribiwa Chunwuemeka au Chalobah kwani nasilkia pia ni DM
Hata ile Chelsea yenye wagonjwa 11 bila akina Enzo na Mudryk wasingeweza kutufunga.Wagonga nyundo wa London ndyo tunaanza ligi leo Cheltako tutawashindilia nyundo 2 za tako
Antonio man of the match
Enzo red card
West Ham msimu huu wabovu lakini sioni Chelsea ikipata matokeo pale London stadiumHata ile Chelsea yenye wagonjwa 11 bila akina Enzo na Mudryk wasingeweza kutufunga.
Prediction leo ni 3-0 kwa Chelsea
Mchizi boti leo andaa kofia la chuma, maana unaenda kupigwa nyundo za kikatili na mijitu isio na huruma.Leo tunashinda mapema tu Nu Casto anakalishwa tatu
Unategemea ataenda wapi na uzee ule?Break news: Thiago silva ameongeza mkataba wa mwaka mmoja wa kuendelea kukitumikia kikosi Cha chelsea.
Hata sisi hatutakubali ujinga wajiandae wanywe maji mengi.Ze blauz leo muna kazi ya kufanya.
Wapiga nyundo hawawezi waacha salama.
Katika mechi zote 45 tulizocheza na Westham, tumewafunga 26, droo 9 na wametufunga 10West Ham msimu huu wabovu lakini sioni Chelsea ikipata matokeo pale London stadium
Tuna records mbovu ya kupata magoli sijui mara ya mwisho lini kupata hata goli 2
Hatuwezi kupata matokeo kwa Chelsea hii ya Potter mkuuKatika mechi zote 45 tulizocheza na Westham, tumewafunga 26, droo 9 na wametufunga 10
Katika mechi 7 za hivi karibuni kuanzia 2019 hadi Sept 2022 tumewafunga 5, wametufunga 2, hakuna droo
Mechi mbili za hivi karibuni
3 Sept 2022 tuliwafunga 2-1
24 April 2022 tuliwafunga 1-0
Wakati huo ndio walikuwa kwenye form nzuri hadi wakafaulu kushiriki michuona ya Eurpa Conference, leo tunakutana nao wakiwa wamemeza irizi imewalegeza hawana lolote hata nyundo hawawezi kubeba tena, wamebaki na jina tu