Kuna uwezekano yaliyowakuta Juve ikawakuta Man City
![]()
PEP Gardiola to Chelsea; Here we go!
Pep Guardiola discussed the investigation of @ManCity last year. "If they lie to me the day after, I am not here. I will be out, and I will not be their friend anymore. I put my faith in them because I believe them 100% from day one, I defend the club because of that." 7/5/22
Behdad Eghbali waiting outside Pep Guardiola's home
![]()
![]()
JokeHaiwezi tokea
Loreen James kama Hazard!
Apa mmepata,, jamaa ametulia han papara,,Kuna shabiki moja kule twitter kasema bana Badiashile amewafanya mashabiki wa Chelsea kumsahau Bvardiol
Hii ni nkweli kabisa, kijana wa paundi mil 29 anamfanya beki mwenzake wa paundi mil 100+ asahaulike kabisa. Hata angesajiliwa si ajabu Badiashile angemuweka benchi.
![]()
Binafsi simkubali kabisa Guardiola namuheshimu kama kocha Bora mwenye mafanikio lakini honestly sipendi aina yake ya soka huo wa pass nyingiPEP Gardiola to Chelsea; Here we go!
Pep Guardiola discussed the investigation of @ManCity last year. "If they lie to me the day after, I am not here. I will be out, and I will not be their friend anymore. I put my faith in them because I believe them 100% from day one, I defend the club because of that." 7/5/22
Behdad Eghbali waiting outside Pep Guardiola's home
![]()
![]()
Mtu smart unamtambua kuanzia wakati wa Kwanzaa ball movement.Kuna shabiki moja kule twitter kasema bana Badiashile amewafanya mashabiki wa Chelsea kumsahau Gvardiol
Hii ni nkweli kabisa, kijana wa paundi mil 29 anamfanya beki mwenzake wa paundi mil 100+ asahaulike kabisa. Hata angesajiliwa si ajabu Badiashile angemuweka benchi.
![]()
Yeah, hata mimi huaga style yake ya playing inaboa, na inaboa zaidi timu isiposhinda. Style ya Conte, Klopp na sasa Arteta ndio nzuri. Ball movement inakuwa haraka na direct to the boxes sio ile ya PEP ya kuzunguka uwanja through wingsBinafsi simkubali kabisa Guardiola namuheshimu kama kocha Bora mwenye mafanikio lakini honestly sipendi aina yake ya soka huo wa pass nyingi
Conte hana mpira wowote zaidi ya kupaki bus na kutegemea natural striker ...Yeah, hata mimi huaga style yake ya playing inaboa, na inaboa zaidi timu isiposhinda. Style ya Conte, Klopp na sasa Arteta ndio nzuri. Ball movement inakuwa haraka na direct to the boxes sio ile ya PEP ya kuzunguka uwanja through wings
Ndio umuhimu wa kuwa na scout makini , mchezaji kuwa mzuri si mpaka tukimbilie wachezaji wa bei kali ,unaweza pata mchezaji wa 10-20-30£ m .mwenye umri mdogo na anayeubonda kuliko hao wa bei mbaya , nikikumbuka pesa tuliyopoteza kwa Lukaku ,naumia sana ile pesa tungeweza kupata wachezaji 3 toka Portugal ,France au America ya kusini ambao wangekuwa wanaosaidia timu kwa sasaKuna shabiki moja kule twitter kasema bana Badiashile amewafanya mashabiki wa Chelsea kumsahau Gvardiol
Hii ni nkweli kabisa, kijana wa paundi mil 29 anamfanya beki mwenzake wa paundi mil 100+ asahaulike kabisa. Hata angesajiliwa si ajabu Badiashile angemuweka benchi.
![]()
Danny Murphy mpuuzi yule eti kadai hakuna mchezaji wa chelsea kati ya hao wapya watakaoanza kwenye line up ya city, na kwamba Enzo hawezi kuwafikia Rodri na Casemiro
Gary Neville na Dan Murphy wakifunguaga hayo mabakuli yao lazima watapike udongo.
Useless kabisa hawa wazee wa Liverpool na Manure
View attachment 2509987
View attachment 2509984
Pundits WA kiingereza huwa ni wangese sana ,
Hao jamaa ni watu wa ovyo sanaDanny Murphy mpuuzi yule eti kadai hakuna mchezaji wa chelsea kati ya hao wapya watakaoanza kwenye line up ya city, na kwamba Enzo hawezi kuwafikia Rodri na Casemiro
Gary Neville na Dan Murphy wakifunguaga hayo mabakuli yao lazima watapike udongo.
Useless kabisa hawa wazee wa Liverpool na Manure
View attachment 2509987
View attachment 2509984
![]()
Eti not worthyDanny Murphy mpuuzi yule eti kadai hakuna mchezaji wa chelsea kati ya hao wapya watakaoanza kwenye line up ya city, na kwamba Enzo hawezi kuwafikia Rodri na Casemiro
Gary Neville na Dan Murphy wakifunguaga hayo mabakuli yao lazima watapike udongo.
Useless kabisa hawa wazee wa Liverpool na Manure
![]()
![]()
![]()

... lkn Kwa jack grealish vigimbi hawaongei chochoteHuna heshima hata kidogo, Conte mmemshindwa kabisa unakuja kuleta mpira mbovu hapa wenye kuboaConte hana mpira wowote zaidi ya kupaki bus na kutegemea natural striker ...
Flow ya mpira kama ya arteta &klopp lazima ucheze na false 9 ....na ndio imempa mafanikia klopp
Huwezi kuwa na natural striker harafu ucheze mpira kama ule ...
Pep na klopp baada ya kuachana na false 9 ,kuleta natural striker,Bado wanastruggle kwenye system...