Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mchizi boti leo andaa kofia la chuma, maana unaenda kupigwa nyundo za kikatili na mijitu isio na huruma.
Mkuu tuna kikosi kipya tunatowa kipigo hadi mwisho wa msimu tuko nafasi ya pili kama siyo ya kwanza. Nyie subirini hapo hapo Mataito Contendaz😀😀😀
 
FoqnQL6XoAAMoRs
Hichi ndio kikosi cha leo?!
 
Game za mchana huwa hazitabiriki huwa naziogopa sana game za mapema, huwa zinamatokeo flani hiv usiyoyategemea
 
Our XI vs West Ham
Kepa
James Silva Badiashile Cucu
Enzo RLC
Madueke Felix Mudryk
Havertz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom