Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,396
- 6,023
Thiago Silva ni Mzee lakini hakuna Beki yeyote pale Mwantesa Utd anayefikia kaliba yake kiubora.Unategemea ataenda wapi na uzee ule?
Nibora andelee kula penshen yake tu hapo hapo.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app


huwa naziogopa sana game za mapema, huwa zinamatokeo flani hiv usiyoyategemea
