Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Japo kwa maoni yangu naona kocha ana uwezo mdogo, Nisingependa nimuhukumu kocha moja kwa moja, namuacha atafute 1st eleven yake. Ndio kwanza wechezaji waliowengi ni wageni tumpe angalau game tano jamani.
NB. Alinifurahisha kutompanga Chalobah. Sasa game ijayo anifurahishe Havertz ale mbao.
 
Amadou Ba Zeund Georges Mvom Onana

Leo nimecheki mechi ya Everton na Arsenal kufuatilia tu performance ya Onana
Kwa umri wake ni bonge la mchezaji, hasa kwenye kupress na kukaba. Nilifanya hivyo ili kujiuliza scouting team wameona nini kwake hadi kuelekeza uongozi uende kumuulizia kama anauzwa

ni CM mzuri na urefu wake unampa kuwa na pace kubwa wakati akiwa na mpira na wakati hana mpira

Nashauri Chelsea wamfuatilie

Akija kukomaa vizuri huyu atamiliki idara nyingi sana za midfield

I now like the guy

Nashauri na wengine muanze kumfuatilia
 
Hii kitu kwa Mount haijanza jana mara nyingi tu iko hivi.

Mudryk vs Liverpool alikiwa amebanwa zaidi ya hapa ya alivyobanwa mount ila bado akapiga through pas kwa chukwumweka.

Ndugu yangu Mount yeyr kwake hicho kitu huwa hakipo.
twitter_20230204_173002_1.gif
 
End product poor hata Cucu ukimwangalia kwa haraka jana alijitoa na kuna baadhi ya tackles na aeria duel alizifanya vizuri ila sio beki wa std ya Chelsea, end product yake ukilinganisha na Chilwell kamuacha mbali sana. Galagher kwa nafasi ile aliyocheza jana hakuitendea kazi. Kwanza hakuonyesha ushirikiano mzuri na Enzo pili clinicallity yake kwenye kudisposes, recovering, tackles na passing sio nzuri kabisa ukilinganisha na akina Kova
Waingereza walio serious na kazi pale Chelsea ni James na Chillwell wengine ni mapimbi tu
 
Japo kwa maoni yangu naona kocha ana uwezo mdogo, Nisingependa nimuhukumu kocha moja kwa moja, namuacha atafute 1st eleven yake. Ndio kwanza wechezaji waliowengi ni wageni tumpe angalau game tano jamani.
NB. Alinifurahisha kutompanga Chalobah. Sasa game ijayo anifurahishe Havertz ale mbao.
 
Halafu pamoja na mapungufu ya porter bado pia kuna suala la wachezaji kupoteza mipira kizembe hasa kwenye movement kule mbele na kati kati ,hilo nalo ni tatizo hasa Mount ,Havertz ,ghalagger , Ziyech Wana hii tabia ya kupoteza mipira kipumbavu halafu ni wazito kutrack back , hatuitaji wachezaji wa hivi aisee ,dirisha lijalo wauzwe
End product poor hata Cucu ukimwangalia kwa haraka jana alijitoa na kuna baadhi ya tackles na aeria duel alizifanya vizuri ila sio beki wa std ya Chelsea, end product yake ukilinganisha na Chilwell kamuacha mbali sana. Galagher kwa nafasi ile aliyocheza jana hakuitendea kazi. Kwanza hakuonyesha ushirikiano mzuri na Enzo pili clinicallity yake kwenye kudisposes, recovering, tackles na passing sio nzuri kabisa ukilinganisha na akina Kova
 
Halafu pamoja na mapungufu ya porter bado pia kuna suala la wachezaji kupoteza mipira kizembe hasa kwenye movement kule mbele na kati kati ,hilo nalo ni tatizo hasa Mount ,Havertz ,ghalagger , Ziyech Wana hii tabia ya kupoteza mipira kipumbavu halafu ni wazito kutrack back , hatuitaji wachezaji wa hivi aisee ,dirisha lijalo wauzwe
They are not serious
Ila kosa lolote la wachezaji ni la kocha. Yeye kocha anakuwa wapi hadi wachezaji wanajichezea wanavyotaka. Mbona hicho kitu hakuna kwa PEP. Hakipo kwa sababu mchezaji akileta upuuzi anawekwa benchi
 
Kama tatizo ni Kocha Mwingereza mbona huyu wa Newcastle ana timu tu ya kawaida na sasa ni title contender mbele ya Man city na mkocha wengine wazoefu
Edward John Frank Howe
Lembu hakuna coacher Mwingereza aliwah beba league kama sikosei huyo wa Newcastle ni mafanikio ya muda mfupi
 
Hii kitu kwa Mount haijanza jana mara nyingi tu iko hivi.

Mudryk vs Liverpool alikiwa amebanwa zaidi ya hapa ya alivyobanwa mount ila bado akapiga through pas kwa chukwumweka.

Ndugu yangu Mount yeyr kwake hicho kitu huwa hakipo.View attachment 2506170
Pamoja na hizi mambo tunazoona mashabiki utashangaa mechi ijayo mount na kina Kai bado akawa anawaanzisha ...yaan Hao inabidi Wale Mkeka game zijazo na wawepo wanaingia tokea sub ..uzuri Felix anarudi amchezeshe Felix hata no 10. Aanze na kina madueke n mudryk
 
Asante kwa kunikumbusha Chifu, madishi yetu wakati mwingine huchemka kwa kurundika vitu vingi sana na kuvichambua papo kwa hapo.

Au hujawahi kutafuta pesa ukijisachi kila mahali ilihali umeishika mkononi

"Mgunda" wanakuja Makolokolo malizana nao mwenyewe mi simo
Hahahaha pamoja sana mkuu
 
Pamoja na hizi mambo tunazoona mashabiki utashangaa mechi ijayo mount na kina Kai bado akawa anawaanzisha
emoji1787.png
...yaan Hao inabidi Wale Mkeka game zijazo na wawepo wanaingia tokea sub ..uzuri Felix anarudi amchezeshe Felix hata no 10. Aanze na kina madueke n mudryk
Yaani nilipoona akina Datro Fofana na Maduake wameingia na upambanaji ndani yao nikajiuliza kwa nini wasipewe nafasi. Haalfu eti Fofana alikuwa atolewe mkopo Galatasaray halafu Mount na Havertz wabaki kuizamisha timu

Hata yule Santos akija atakuwa bonge la addition. Naomba Mungu asitolewe mkopo
Katikati tukishakuwa na Enzo, Kova, Kante na Santos wanatosha labda tuongeza mpya

Andrey Santos: 5 goals in 5 games for Andrey Santos at Sudamericano Sub-20.
 
Kuanzia mechi zijazo hakuna kumapnga Mount wala Havertz wala Galagher wala Ziyech

4-2-3-1

GP akibadilisha hii line up tunaanzisha Move ya GP OUT

------------------- Fofana----------------------

Mudryk ------------Felix ---------------- Madueke

-------- Enzo ------------------ Kovacic----------

Chilwell --------Badiashile ------ Silva------- James

------------------- Kepa----------------------

SUB
  1. Kova akichoka anaingia Denis Zakaria
  2. Chilwell akichoka anaingia Lewis Hall
  3. Madueke akichoka anaingia Sterling
  4. James akichoka anaingia Chalobah au Azpilicueta
 
Kuanzia mechi zijazo hakuna kumapnga Mount wala Havertz wala Galagher wala Ziyech

4-2-3-1

GP akibadilisha hii line up tunaanzisha Move ya GP OUT

------------------- Fofana----------------------

Mudryk ------------Felix ---------------- Madueke

-------- Enzo ------------------ Kovacic----------

Chilwell --------Badiashile ------ Silva------- James

------------------- Kepa----------------------

SUB
  1. Kova akichoka anaingia Denis Zakaria
  2. Chilwell akichoka anaingia Lewis Hall
  3. Madueke akichoka anaingia Sterling
  4. James akichoka anaingia Chalobah au Azpilicueta
Kwa kikos hiki kila m2 anakaa
 
Mashabiki wanavyowarate wachezaji. Mechi ya kwanza tu Enzo anaongoza
View attachment 2507029
Ndio maana huwa siamin sana rating.
Ukiangalia sana rating unaweza sema wapo wachezaj waliperform vizuri kumbe walikuwa pooor

Mount ,havertz hawstahili kupata hiyo ilibidi iwe chini ya hapo, same tu galagher mda mwingi yuko nje ya nafasi yake

Badiashile alikuwa vizuri,
 
Ndio maana huwa siamin sana rating.
Ukiangalia sana rating unaweza sema wapo wachezaj waliperform vizuri kumbe walikuwa pooor

Mount ,havertz hawstahili kupata hiyo ilibidi iwe chini ya hapo, same tu galagher mda mwingi yuko nje ya nafasi yake

Badiashile alikuwa vizuri,
Hata Ziyech wamempa 4.1 sawa na Silva
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom