Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hivi mfano ukamuuza mount ukamsajili jao felix akawa kama no 10 una hasara gani? Inamaana hapo mbele itakuwa

Nkuku.

Mudryk. Felix. Madueke

Kante. Enzo/Caicedo.


Chilwell. Thiago. Benoit. James.
Kante wamtafutie mrithi(mbadala) wake maana naona naye kashakuwa chronic injury player, labda ni sababu kipindi cha nyuma alitumia nguvu kubwa sana na umri unamtupa mkono sasa hivi.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kante wamtafutie mrithi(mbadala) wake maana naona naye kashakuwa chronic injury player, labda ni sababu kipindi cha nyuma alitumia nguvu kubwa sana na umri unamtupa mkono sasa hivi.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Nachompendea Kante hata akirudi haitaji muda arudi kwenye kiwango chake
 
Ukweli huu, Chelsea wamerundika wachezaji haieleweki wanachezaje

Ndo maana Kila mechi mfumo mpya ,wachezaji leo winga kesho Viungo
Hata mudrky Sion akitoboa tutaona machachali mengi na moment za hapa na pale
Toka kuwa Arsepimbi hadi kuwa Mtabiri uchwara, kweli dunia inakimbia kwa kasi sana [emoji16]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Makelele na Kante best partnership ukuta wa Berlin, Makelele ana stick deeper kuzuia mashambulizi huku Kante akifanya doria Uwanja mzima wa kukata visiki
What a load of nonsense! Ni shabiki wa Cheltako tu anayeona Makele na Kante wanaweza kucheza pamoja, ni uelewa mdogo mno wa mpira, ila hatushangai ni timu ya 2005 hii.[emoji3]
 
siku tukimsajili Enzo Fernandez halafu tukampa mkataba wa miaka 10, Garry Nevile atakimbizwa hospitalini kwa presure
Gary_Neville_2014_%28cropped%29.jpg
Ana wivu sana na sisi
 
Ukweli huu, Chelsea wamerundika wachezaji haieleweki wanachezaje

Ndo maana Kila mechi mfumo mpya ,wachezaji leo winga kesho Viungo
Hata mudrky Sion akitoboa tutaona machachali mengi na moment za hapa na pale
Timu yako yenye mfumo unaoeleweka ndani ya miaka 10 iliyopita ina nini cha kujivunia kulinganisha na timu isiyokuwa na mfumo? Kama huna jibu jipige kifuani useme mimi na roho mbaya,husda na wivu ni pete na kidole
 
siku tukimsajili Enzo Fernandez halafu tukampa mkataba wa miaka 10, Garry Nevile atakimbizwa hospitalini kwa presure
Gary_Neville_2014_%28cropped%29.jpg
Huyu jamaa huwa yuko bias sana, kama ingekuwa man utd ndio anasajili hivi angekuwa anawasifu wamiliki kwa kuonesha ambition
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom